Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii wanaovutia zaidi wanawake wawapo jukwaani

Ali kiba asanteni sanadiamond-numzBob JuniorChristian BellaNA RHOBI CHACHA

MUME wa mwigizaji mashuhuri duniani, Angelina Jolie, Brad Pitt, mwanamuziki anayeendelea kutamba na wimbo wa ‘Happy’, Pharrell William, Justine Beiber na wengine wengi waliwahi kutangazwa kuwa ndio wasanii wenye mvuto zaidi kwa wanawake nchini Marekani.

Hata hapa Tanzania makampuni mengi yamewahi kuendesha mashindano ya kushindanisha mvuto wa wasanii kwa namna tofauti, lakini sisi tumefanya uchunguzi kwa baadhi ya wasanii wa kiume wenye mvuto mkubwa kwa mashabiki wa kike...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MWASITI AWATAKA WASANII WABADILIKE NA WAZINGATIE MAADILI WAWAPO JUKWAANI

  Msanii wa Reggae Princes Delyla akiongea na wadau wa Sanaa kwenye Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) mapema wiki hii kwenye makao makuu ya Baraza hilo Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Kulia kwake ni Msanii Mwasiti Almas na Afisa Sanaa kutoka BASATA Augustino Makame.  Msanii wa kizazi kipya Mwasiti Almas(katikati) akisisitiza jambo wakati akiongea na wadau wa Sanaa kwenye programu ya Jukwaa la Sanaa la Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linalofanyika makao makuu ya...

 

10 years ago

Bongo5

Video: Models 10 wa video za muziki Tanzania waliofanya vizuri/wanaovutia zaidi 2014/2015

Kwa miaka mingi wanawake wamekuwa wakitumika zaidi kupendezesha video za muziki duniani. Kazi hiyo imewawezesha baadhi ya video queens kuwa mastaa kwa kazi hiyo tu. Hii ni orodha yetu ya warembo 10 waliofanya vizuri zaidi kwenye video za wasanii wa Tanzania kwa mwaka 2014/2015. 1. Maggie Vampire – Wanawake wa Dar – Wakazi Kwa wahudhuriaji […]

 

10 years ago

Bongo5

Wasanii wa Rwanda wachukizwa na kauli ya Diamond kuwa hawajitangazi kimataifa, mmoja amdiss jukwaani!

Waswahili wanasema ukweli unauma na wakati mwingine pamoja na msemwa ukweli kuwa kipenzi cha Mungu, huonekana mwenye dharau. Hiki ndicho kilimkuta Diamond Platnumz kwenye ziara yake nchini Rwanda. Wakati akiongea na waandishi wa habari mjini Kigali, Diamond alidai kuwa wasanii wa Rwanda hawajitangazi kimataifa. Kauli hiyo haikuwaingia vyema baadhi ya wasanii wa Rwanda akiwemo Jay […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake

Wanaume wengi wamekutwa na ugonjwa huo zaidi na wanaonekana kupatwa na maafa mabaya.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasanii walamba zaidi ya Sh150 milioni shoo ya Tigo

Huenda ukurasa mpya ukawa umefunguka kwa wanamuziki wa Tanzania baada ya kampuni ya mawasiliano ya simu za mokononi ya Tigo kumwaga zaidi ya Sh150 milioni kulipa wasanii 30 waliotumbuiza katika Tamasha la tiGOMusic Kiboko Yao Jumamosi iliyopita. 

 

9 years ago

Global Publishers

Makosa wafanyayo wapenzi wawapo chumbani-2

Blog-pic-couple-cuddling-4441652 (1)Heri ya Mwaka Mpya! Mimi na wewe tunapaswa kumshukuru Mungu kwa kutuvusha salama kutoka mwaka 2015 mpaka leo hii tunapouanza mwaka mwingine wa 2016. Ni wiki nyingine tunapokutana tena katika ukurasa wetu huu mzuri. Wiki iliyopita tulijadiliana kwa kina kuhusu makosa wanayoyafanya wanandoa wengi wawapo vyumbani na wenzi wao.Leo tunaendelea kuanzia pale tulipoishia wiki iliyopita.

2. KUWA BIZE NA SIMU AU TV MUDA WA KULALA
Utandawazi umekuja na mambo mengi, simu zenye intaneti (smartphones)...

 

9 years ago

Global Publishers

Makosa wafanyayo wapezi wawapo chumbani

happy-couple-twitterUhali gani msomaji wangu! Ni matumaini yangu kwamba u mzima wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.

Kama kawaida, tunakutana tena kwenye bustani yetu nzuri ambapo tunajadiliana na kujuzana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi.

Kama mada inavyojieleza hapo juu, leo ningependa kujadiliana na wewe msomaji wangu kuhusu makosa ambayo watu wengi huwa wanayafanya wawapo chumbani na wenzi wao, hususan wanandoa au wapenzi wanaoishi pamoja.

Wapenzi wengi wanaishi kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku ya Wanawake iwe mwanzo mpya kwa wasanii wetu wa kike

MACHI 8 ya kila mwaka ni Siku ya Wanawake Duniani, ambayo husherehekewa kote duniani, ambapo Watanzania wanaungana na wengine kuipokea siku hiyo chini ya kaulimbiu ambayo kwa mwaka huu ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani