Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasanii walamba zaidi ya Sh150 milioni shoo ya Tigo

Huenda ukurasa mpya ukawa umefunguka kwa wanamuziki wa Tanzania baada ya kampuni ya mawasiliano ya simu za mokononi ya Tigo kumwaga zaidi ya Sh150 milioni kulipa wasanii 30 waliotumbuiza katika Tamasha la tiGOMusic Kiboko Yao Jumamosi iliyopita. 

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Tanesco Mwanga yapata hasara ya Sh150 milioni

Shirika la Umeme (Tanesco) wilayani Mwanga limepata hasara ya zaidi ya Sh151.2 milioni kwa kipindi cha miezi miwili kutokana na uharibifu wa miundombinu ya nishati hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasanii kuangusha shoo ya pamoja Bills

WASANII mbalimbali wameamua kufanya shoo ya aina yake itakayofanyika leo katika Ukumbi wa kimataifa wa Club Bilicanas uliopo katikati ya Jiji la Dar es Salaam. Kwa mujibu wa taarifa zilizoifikia...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasanii Bongo Fleva na shoo za sebuleni Ulaya

>Kila kukicha tumekuwa tukisikia taarifa mbalimbali za wasanii wa Bongo Fleva kusaini mikataba ya kwenda kufanya shoo katika nchi za Ulaya. Baadhi ya wasanii hao wa Bongo Fleva wamekuwa wakitangaza shoo hizo pasipo kueleza ukweli wa mikataba wanayoingia.

 

10 years ago

GPL

WASANII WAUNGANA NA MABESTE KWENYE SHOO YA KUMCHANGIA MKEWE

Msanii Mabeste akiwapagawisha mashabiki. Msanii wa muziki, Bob Junior akifanya yake jukwaani. Mdada akipagawa na wimbo wa msanii Shebby Love (kushoto).…

 

10 years ago

CloudsFM

H Baba awafungukia wasanii wanaokodisha watu kuwazomea wenzao kwenye shoo

Msanii wa Bongo Fleva,Hamis Baba amewafungukia baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva wanaokodisha watu kwa kuwalipa fedha kwa ajili ya kuwazomea wasanii wengine kwenye shoo. H Baba ameyazungumza hayo kwenye mahojiano maalum na Clouds Fm kuhusu tabia iliyojitokeza ya baadhi ya wasanii kudaiwa kukodi watu kwa kuwalipa na kuwazomea wasanii wengine kwenye shoo.
Aidha msanii huyo alisema kuwa anasikitishwa sana na hali hiyo kwani anaona kuna hatari kubwa sana inakuja mbele kama hali itaendelea na...

 

10 years ago

CloudsFM

H Baba awafungukia wasanii wanaokodisha watu kuwazomea wenzao kwenye shoo zao

Msanii wa Bongo Fleva,Hamis Baba amewafungukia baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva wanaokodisha watu kwa kuwalipa fedha kwa ajili ya kuwazomea wasanii wengine kwenye shoo.

H Baba ameyazungumza hayo kwenye mahojiano maalum na Clouds Fm kuhusu tabia iliyojitokeza ya baadhi ya wasanii kudaiwa kukodi watu kwa kuwalipa na kuwazomea wasanii wengine kwenye shoo. Aidha msanii huyo alisema kuwa anasikitishwa sana na hali hiyo kwani anaona kuna hatari kubwa sana inakuja mbele kama hali itaendelea na...

 

11 years ago

Dewji Blog

Mh. Mohammed G.Dewji (MO) amwaga msaada wa zaidi ya shilingi Milioni 127 kwenye Taasisi za Dini zaidi 80 Jimboni kwake

DSC_0025

Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa.

DSC_0029

Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa pili kulia ni Katibu wa Mahakama ya Qadhi, Alhajj B. Mlau.

DSC_0133

Mbunge...

 

11 years ago

Michuzi

MH. MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI 80 JIMBONI KWAKE

DSC_0025 Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa. DSC_0133 Mbunge wa jimbo la Singida Mjini,Mh. Mohammed Dewji (MO) akisalimiana na waumini wa Msikiti wa Kata ya Mtipa wakati alipofanya ziara ya kukagua ujenzi wa Msikiti huo, ambapo mara baada ya kuona hatua zilizofikia za ujenzi huo aliahidi kutoa Mabati 50 pamoja na mifuko 50 ya...

 

11 years ago

GPL

MOHAMMED DEWJI (MO) AMWAGA MSAADA WA ZAIDI YA SHILINGI MILIONI 127 KWENYE TAASISI ZA DINI ZAIDI YA 80 JIMBONI KWAKE‏

Mbunge wa Singida Mjini, Mh. Mohammed Dewji (MO), akizungumza na viongozi wa Mahakama ya Qadhi wakati alipotembelea Mahakama hiyo kuona namna inavyohudumia waumini wa Dini ya Kiislamu katika kutatua migogoro ya ndoa. Sheikh wa Mahakama ya Qadhi, Ramadhani Kaoja akimweleza Mheshimiwa Mbunge shughuli za Mahakama hiyo pamoja na changamoto mbalimbali zinazowakabili, Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM Singida Mjini , Hamis Nguli, wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani