Tanesco Mwanga yapata hasara ya Sh150 milioni
Shirika la Umeme (Tanesco) wilayani Mwanga limepata hasara ya zaidi ya Sh151.2 milioni kwa kipindi cha miezi miwili kutokana na uharibifu wa miundombinu ya nishati hiyo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Tanesco yapata hasara mil. 10.6/-
OFISI ya Shirika la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Kinondoni Kusini, imepata hasara ya sh milioni 10.6 baada ya transfoma yake iliyopo maeneo ya Ubungo Maziwa kugongwa na gari na kuharibiwa...
9 years ago
Mwananchi25 Dec
Wezi wa umeme waitia hasara Tanesco Sh200 milioni
9 years ago
StarTV15 Dec
Tanesco watangaza kupata hasara ya Shilingi milioni 200 kutokana na Wizi Wa Umeme
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 200 kwa wateja wake zaidi ya 50 waliojiunganishia Umeme kinyume cha sheria kwenye maeneo ya Msasani, Kigamboni na Oysterbay Jijini Dar Es Salaam hali ambayo imesababisha kushuka kwa ufanisi wa utendaji kazi wa shirika hilo.
Katika operesheni ya kukagua nyumba zilizojiunganishia umeme kinyume cha sheria shirika hilo limekagua jumla ya nyumba 2,200 katika kipindi cha wiki moja na kubaini madudu hayo.
Katika...
10 years ago
Mwananchi31 Jan
Wasanii walamba zaidi ya Sh150 milioni shoo ya Tigo
11 years ago
Mwananchi06 May
Kampuni yapata hasara Sh270milioni
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Chelsea yapata hasara England
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Precision Air yapata hasara Sh 12.1 bil
9 years ago
Habarileo10 Dec
Tanesco Kilimanjaro watangaza hasara
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Kilimanjaro, limepata hasara ya zaidi ya Sh milioni 258 kwa kipindi cha Septemba hadi Novemba mwaka huu, kutokana na wizi wa nyaya za shaba na transfoma.
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia
Na Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...