Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea yapata hasara England

>Chelsea imepata hasara ya Pauni 49.4 milioni kwa mwaka ulioisha Juni 2013.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kampuni yapata hasara Sh270milioni

Uzalishaji wa Maharage katika Shamba la Kampuni ya Sluis Brothers (EA) Limited, umeshuka kwa asilimia 95 na kusababisha hasara ya Sh270 milioni mwaka 2012/2013

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tanesco yapata hasara mil. 10.6/-

OFISI ya Shirika la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Kinondoni Kusini, imepata hasara ya sh milioni 10.6 baada ya transfoma yake iliyopo maeneo ya Ubungo Maziwa kugongwa na gari na kuharibiwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Precision Air yapata hasara Sh 12.1 bil

Hali ya kifedha ya kampuni ya usafiri wa anga ya Ndege ya Precision Air bado haijatengemaa baada ya kupata hasara ya Sh12.1 bilioni katika mwaka ulioishia Machi mwaka huu. Hata hivyo, hasara hiyo ni ahueni baada ya mwaka jana kupata hasara kubwa zaidi ya Sh30.1 bilioni.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia

saada mkuyaNa Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...

 

9 years ago

Mwananchi

Tanesco Mwanga yapata hasara ya Sh150 milioni

Shirika la Umeme (Tanesco) wilayani Mwanga limepata hasara ya zaidi ya Sh151.2 milioni kwa kipindi cha miezi miwili kutokana na uharibifu wa miundombinu ya nishati hiyo.

 

9 years ago

StarTV

Tanzania yapata hasara ya zaidi ya bil. 230 kwa mwaka 

Wakulima na wadau wa kilimo cha mazao yanayotumika kuzalisha mafuta ya kupikia, wamelalamikia uingizwaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara hatua inayochangia kupungua kwa soko la mafuta yanayozalishwa nchini.

Takribani asilimia 50 ya mafuta yanayotumika nchini yanatoka nje ya nchi ambapo mafuta yanayozalishwa nchini yanatajwa kutosheleza mahitaji ya soko la ndani ikiwa ni pamoja na ziada inayoweza kuuzwa nje ya nchi.

Wafanyabishara wa mazao ya mafuta...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mabingwa Chelsea watangaza hasara

Licha ya kuibuka mshindi wa ligi kuu ya Uingereza msimu uliopita ,Chelsea iliandikisha hasara ya dola milioni $34.9m

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool, Chelsea hapatoshi England

Vinara wa ligi kuu ya England Liverpool na Chelsea zinapambana kuwania ushindi

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea haishikiki Ligi Kuu England

Timu ya Chelsea imeendeleza dhamira yake ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu ya England kwa kuirarua Tottenham 3-0

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani