Liverpool, Chelsea hapatoshi England
Vinara wa ligi kuu ya England Liverpool na Chelsea zinapambana kuwania ushindi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Hapatoshi vigogo England
11 years ago
BBCSwahili08 Feb
Arsenal, Liverpool hapatoshi ligi kuu
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Liverpool, Arsenal vitani England
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Chelsea yapata hasara England
10 years ago
BBCSwahili04 Dec
Chelsea haishikiki Ligi Kuu England
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Newcastle yainyuka Liverpool ligi kuu England
9 years ago
Mtanzania12 Nov
Chelsea, West Ham zapigwa faini England
LONDON, ENGLAND
CHAMA cha soka nchini England (FA) kimezitoza faini Klabu ya Chelsea na West Ham kutokana na utovu wa nidhamu uliooneshwa katika mchezo wa Ligi Kuu huku Chelsea ikiambulia kichapo cha mabao 2-1.
Chelsea wao wametozwa faini ya pauni 50,000 wakati West Ham ikitozwa pauni 40,000 kutokana na kukiri mashtaka ya utovu wa nidhamu ulioonyeshwa Oktoba 24 kwenye Uwanja wa Upton Park. Wachezaji watano wa Chelsea walioneshwa kadi za njano huku kiungo wao wa kati Nemanja Matic akioneshwa...
10 years ago
StarTV04 May
Chelsea yatwaa ubingwa Ligi Kuu England
imu ya Chelsea imeibuka mabingwa wa ligi kuu ya England, baada ya kuifunga Crystal Palace bao 1-0 katika mchezo uliofanyika katika uwanja wa Stamford Bridge. Bao la Chelsea lilifungwa katika dakika ya 45 ya kipindi cha kwanza cha mchezo, likifungwa Eden Hazard.
Chelsea ilihitaji pointi tatu kutangazwa mabingwa wa ligi kuu ya England. Chelsea imetwaa ubingwa huo ikiwa bado na michezo mitatu, ikiwa imejikusanyia pointi 83 ikifuatiwa na mabingwa wa msimu uliopita Manchester City yenye pointi...
10 years ago
BBCSwahili04 May
Chelsea mabingwa wapya Ligi Kuu England