Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool, Arsenal vitani England

Liverpool inatarajia kufanya ya msimu uliopita walipoitandika Arsebal mabao 5-1, wakati timu hizo zinapokutana kwenye mchezo wa leo wa Ligi Kuu England kwenye Uwanja wa Anfield.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Real, Liverpool, Arsenal vitani Ulaya

Real Madrid imeweka rekodi ya kutwaa taji hilo mara 10 Manchester, England. LReal Madrid ilikata kiu ya kusubiri ubingwa wa soka wa Ulaya kwa miaka 12 ilipotwaa taji hilo kwa mara ya kumi (la Decima) msimu uliopita.

 

10 years ago

Mwananchi

Man City, Liverpool zaingia vitani Ligi ya Mabingwa Ulaya

Klabu za Ligi Kuu England zina kibarua kigumu cha kufuzu kucheza hatua ya mtoano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya leo na kesho.

 

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool, Chelsea hapatoshi England

Vinara wa ligi kuu ya England Liverpool na Chelsea zinapambana kuwania ushindi

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal watesa ligi kuu England

Timu ya Arsenal imeendelea kuongoza ligi kuu ya England hadi sasa

 

11 years ago

BBCSwahili

Arsenal yapeta Ligi Kuu England

Timu ya Arsenal yazidi kuongoza ligi kuu ya England ikiwa imeingia mzunguko wa 20

 

11 years ago

GPL

ARSENAL YAREJEA KILELENI LIGI KUU ENGLAND

Ligi Kuu ya England mwaka huu ni shughuli pevu.
Jumamosi, Chelsea alikuwa kileleni, Jumapili, Manchester City na sasa ni Arsenal. Kiasi cha pointi mbili tu kinazitenganisha timu tatu za juu. Kikosi cha Arsene Wenger kimerejea kileleni kufuatia ushindi wa mabao 2-1 ugenini usiku wa kuamkia leo dhidi ya Aston Villa. Jack Wilshere alifunga dakika ya 34 na Olivier Giroud akafunga la pili dakika ya 35 Arsenal ikaongoza 2-0 kabla ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Newcastle yainyuka Liverpool ligi kuu England

Newcastle walishangaza majogoo wa Ligi ya Uingereza Liverpool kwa kuwanyuka 2-0 mechi iliyochezewa uwanja wa St James Park.

 

9 years ago

Mwananchi

LIGI KUU ENGLAND: Ukuta Arsenal na safari ndefu ya ubingwa

Wiki moja tangu kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu England 2015/16, tayari mashabiki wa klabu ya Arsenal wameanza kuingiwa hofu

 

10 years ago

Mwananchi

Man Utd, Arsenal, Chelsea kuwasha moto upya England

Ligi Kuu England inaendelea leo kwa mechi kadhaa ingawa haiwezi kubadili msimamo wa ligi hiyo, hasa kwenye nafasi za juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani