Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabingwa Chelsea watangaza hasara

Licha ya kuibuka mshindi wa ligi kuu ya Uingereza msimu uliopita ,Chelsea iliandikisha hasara ya dola milioni $34.9m

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Tanesco Kilimanjaro watangaza hasara

SHIRIKA la Umeme (Tanesco) Mkoa wa Kilimanjaro, limepata hasara ya zaidi ya Sh milioni 258 kwa kipindi cha Septemba hadi Novemba mwaka huu, kutokana na wizi wa nyaya za shaba na transfoma.

 

9 years ago

StarTV

Tanesco watangaza kupata hasara ya Shilingi milioni 200 kutokana na Wizi Wa Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limepata hasara ya zaidi ya shilingi milioni 200 kwa wateja wake zaidi ya 50 waliojiunganishia Umeme kinyume cha sheria kwenye maeneo ya Msasani, Kigamboni na Oysterbay Jijini Dar Es Salaam hali ambayo imesababisha kushuka kwa ufanisi wa utendaji kazi wa shirika hilo.

Katika operesheni ya kukagua nyumba zilizojiunganishia umeme kinyume cha sheria shirika hilo limekagua jumla ya nyumba 2,200 katika kipindi cha wiki moja na kubaini madudu hayo.

Katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Chelsea yapata hasara England

>Chelsea imepata hasara ya Pauni 49.4 milioni kwa mwaka ulioisha Juni 2013.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea mabingwa wapya Capital One

Chelsea wamekuwa mabingwa wapya wa Kombe la Capital One kwa kuinyukaTottenham 2-0 katika uwanja wa Wembley jijini London

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea mabingwa wapya Ligi Kuu England

Timu ya Chelsea imeibuka bingwa mpya wa Ligi Kuu ya England, EPL kw mwaka 2014/2015 huku ikibakiwa na michezo mitatu

 

9 years ago

MillardAyo

Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake …

Kocha wa mpya wa muda wa klabu ya Chelsea  Guus Hiddink ambaye amejiunga kwa mara ya pili kuifundisha klabu hiyo, baada ya miaka sita toka aondoke mwishoni mwa mwaka 2009 kama kocha wa muda wa klabu hiyo,  Guus Hiddink ambaye ndio ameichukua Chelsea mikononi mwa Jose Mourinho ili aiokoe isiporomoke zaidi, ameanza kwa kuwatuliza mashabiki […]

The post Kocha mpya wa muda wa Chelsea kabidi awaambie ukweli mashabiki wa Chelsea, hii ndio kauli yake … appeared first on...

 

9 years ago

MillardAyo

TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi …

Headlines za soka bado zinachukua nafasi kila kukicha na mimi mtu wangu siachi kukujuza kila linalonifikia, hususani katika kuelekea kipindi hiki cha dirisha dogo la usajili la mwezi January. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee TOP 5 stori za soka zilizoandikwa sana barani Ulaya. 5- Chelsea kutangaza dau la kumsajili Stones mwezi Janury Baada ya […]

The post TOP 5 Stori: Madrid wapo tayari Rodriguez ajiunge na Chelsea ila? Baada ya Mahrez kumsumbua Terry Chelsea waamua hivi … appeared...

 

10 years ago

GPL

WATANGAZA NIA YA URAIS WASICHAFUANE

Waziri Mkuu, Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mbunge wa Katavi). Hakika Mungu ni mwema sana. Ametuwezesha leo kuwa na nguvu ya kutafakari hatima ya nchi yetu ambayo inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2015 hapo Oktoba.Mwishoni mwa wiki iliyopita tulishuhudia makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wakijitokeza kuwania urais kupitia chama hicho na tayari wameanza kuchuana kutangaza nia yao baada ya vikao vya Kamati Kuu Taifa (CC) na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani