Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Precision Air yapata hasara Sh 12.1 bil

Hali ya kifedha ya kampuni ya usafiri wa anga ya Ndege ya Precision Air bado haijatengemaa baada ya kupata hasara ya Sh12.1 bilioni katika mwaka ulioishia Machi mwaka huu. Hata hivyo, hasara hiyo ni ahueni baada ya mwaka jana kupata hasara kubwa zaidi ya Sh30.1 bilioni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Precision Air yapata cheti cha usalama

SHIRIKA la Precision Air Services, limefanikiwa kupata upya cheti cha Usalama (IOSA), kitolewacho na shirikisho la kibiashara la mashirika ya ndege duniani (IATA). Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini...

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia

saada mkuyaNa Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...

 

9 years ago

StarTV

Tanzania yapata hasara ya zaidi ya bil. 230 kwa mwaka 

Wakulima na wadau wa kilimo cha mazao yanayotumika kuzalisha mafuta ya kupikia, wamelalamikia uingizwaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara hatua inayochangia kupungua kwa soko la mafuta yanayozalishwa nchini.

Takribani asilimia 50 ya mafuta yanayotumika nchini yanatoka nje ya nchi ambapo mafuta yanayozalishwa nchini yanatajwa kutosheleza mahitaji ya soko la ndani ikiwa ni pamoja na ziada inayoweza kuuzwa nje ya nchi.

Wafanyabishara wa mazao ya mafuta...

 

10 years ago

TheCitizen

Precision Air doing well: Shirima

Financial woes that subjected Tanzania’s leading private passenger airline Precision Air (PW) into a staggering Sh30 billion loss in 2012 are nothing, but an eye opener for the company, the company’s chairman and majority shareholder, Michael Shirima has said.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Precision Air yaongeza safari

SHIRIKA la Ndege la  Precision Air limeendelea kuimarisha  na kuboresha huduma zake za usafiri wa anga  kwa kuongeza  safari katika  mikoa ya Kilimanjaro, Mtwara na  visiwa vya Zanzibar. Lengo la ...

 

11 years ago

Judgment

Precision Air appeals against 1bn/


Daily News
Precision Air appeals against 1bn/- judgment
Daily News
PRECISION Air Services Limited operations are likely to be affected if the High Court Commercial Division's judgment ordering the airline to pay over 1bn/- to Unique Car Rentals and Travel Agency Limited is executed. In order to circumvent the situation, the ...

 

11 years ago

TheCitizen

Precision Air pledges more flights in TZ

Precision Air (PW) yesterday increased frequencies on three of its major routes as it seeks to cement its dominance amid growing competition from rivals.

 

10 years ago

TheCitizen

Precision Air, Jovago in new partnership

Precision Air (PW) and Africa’s hotel booking website -- Jovago.com – have struck a partnership deal that enables the airline’s passengers to pick hotels of their choice right from its (PW’s) website.

 

10 years ago

TheCitizen

Precision Air changes tack to raise efficiency

Precision Air is focusing on partnerships with other airlines to serve its customers on the shelved international routes, the airlines said.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani