Precision Air yapata hasara Sh 12.1 bil
Hali ya kifedha ya kampuni ya usafiri wa anga ya Ndege ya Precision Air bado haijatengemaa baada ya kupata hasara ya Sh12.1 bilioni katika mwaka ulioishia Machi mwaka huu. Hata hivyo, hasara hiyo ni ahueni baada ya mwaka jana kupata hasara kubwa zaidi ya Sh30.1 bilioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima23 Oct
Precision Air yapata cheti cha usalama
SHIRIKA la Precision Air Services, limefanikiwa kupata upya cheti cha Usalama (IOSA), kitolewacho na shirikisho la kibiashara la mashirika ya ndege duniani (IATA). Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini...
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Serikali yapata hasara bil 4/- ununuzi bandia
Na Debora Sanja, Dodoma
SERIKALI imesema imepata hasara ya zaidi ya Sh bilioni nane kutokana na risiti za ununuzi bandia.
Kauli hiyo ilitolewa Dodoma jana na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum alipozungumza katika majumuisho ya semina kwa wabunge kuhusu Mfumo wa Malipo nchini.
Mkuya alisema kutokana na mfumo wa kutumia malipo hayo mtu huwasilisha risiti za orodha ya malipo mengi ambayo kwa uhalisia hayapo.
“Ukichukua ile risiti ukienda dukani unakuta hakuna risiti kama hiyo ingawa inakuwapo...
9 years ago
StarTV24 Dec
Tanzania yapata hasara ya zaidi ya bil. 230 kwa mwakaÂ
Wakulima na wadau wa kilimo cha mazao yanayotumika kuzalisha mafuta ya kupikia, wamelalamikia uingizwaji wa mafuta hayo kutoka nje ya nchi unaofanywa na baadhi ya wafanyabiashara hatua inayochangia kupungua kwa soko la mafuta yanayozalishwa nchini.
Takribani asilimia 50 ya mafuta yanayotumika nchini yanatoka nje ya nchi ambapo mafuta yanayozalishwa nchini yanatajwa kutosheleza mahitaji ya soko la ndani ikiwa ni pamoja na ziada inayoweza kuuzwa nje ya nchi.
Wafanyabishara wa mazao ya mafuta...
10 years ago
TheCitizen26 Jul
Precision Air doing well: Shirima
11 years ago
Tanzania Daima08 Mar
Precision Air yaongeza safari
SHIRIKA la Ndege la Precision Air limeendelea kuimarisha na kuboresha huduma zake za usafiri wa anga kwa kuongeza safari katika mikoa ya Kilimanjaro, Mtwara na visiwa vya Zanzibar. Lengo la ...
11 years ago
Judgment28 Jan
Precision Air appeals against 1bn/
Daily News
Precision Air appeals against 1bn/- judgment
Daily News
PRECISION Air Services Limited operations are likely to be affected if the High Court Commercial Division's judgment ordering the airline to pay over 1bn/- to Unique Car Rentals and Travel Agency Limited is executed. In order to circumvent the situation, the ...
11 years ago
TheCitizen07 Mar
Precision Air pledges more flights in TZ
10 years ago
TheCitizen20 Oct
Precision Air, Jovago in new partnership
10 years ago
TheCitizen19 Feb
Precision Air changes tack to raise efficiency