Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Precision Air yapata cheti cha usalama

SHIRIKA la Precision Air Services, limefanikiwa kupata upya cheti cha Usalama (IOSA), kitolewacho na shirikisho la kibiashara la mashirika ya ndege duniani (IATA). Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jijini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Precision Air yapata hasara Sh 12.1 bil

Hali ya kifedha ya kampuni ya usafiri wa anga ya Ndege ya Precision Air bado haijatengemaa baada ya kupata hasara ya Sh12.1 bilioni katika mwaka ulioishia Machi mwaka huu. Hata hivyo, hasara hiyo ni ahueni baada ya mwaka jana kupata hasara kubwa zaidi ya Sh30.1 bilioni.

 

10 years ago

Dewji Blog

Insignia Limited yapata cheti cha mazingira cha ISO 14000

SAM_1736

Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa rangi nchini Tanzania ya Insignia Limited, inajivunia kutangaza kupata cheti cha ISO 14000, cheti cha kiwango cha kimataifa cha uwajibikaji katika usimamizi na uhifadhi wa mazingira. Viongozi wa kampuni walitangaza mafanikio hayo mjini Dar es Salaam. Cheti hicho cha ISO kilitolewa kuthibitisha viwango vya kampuni kufwatia dhamira yake katika shughuli za utunzaji wa mazingira

Mwaka 1996, Serikali ya Tanzania ilizindua sera endelevu ya maendeleo ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TCRA yapata cheti cha kimataifa

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetakiwa kuongeza juhudi katika kuboresha sekta hiyo, baada ya kukabidhiwa cheti cha kiwango cha kimataifa na Shirika la Viwango Duniani. Cheti hicho kilikabidhiwa jijini Dar...

 

10 years ago

Vijimambo

PPF yapata cheti cha ubora wa kimataifa ISO 9001:2008

 Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Pensheni wa PPF, Ndg William Erio (katikati) akiwa ameshika cheti cha kuthibititshwa kwa Ubora wa huduma zao na Shirika la Viwango la Kimataifa la ISO na kupatiwa cheti namba ISO 9001:2008. Kushoto ni Mkurugenzi wa Rasilimali watu wa PPF, Ndg Julius Kam Mganga na kulia ni Mkurugenzi wa Majanga wa PPF, Uphoo Swai.Mkurugenzi mkuu wa mfuko wa pensheni wa PPF, Ndg William Erio (katikati) akifafanua juu ya hatua zilizofuatwa na Shirika la Viwango vya Kimataifa na...

 

10 years ago

TheCitizen

Precision Air doing well: Shirima

Financial woes that subjected Tanzania’s leading private passenger airline Precision Air (PW) into a staggering Sh30 billion loss in 2012 are nothing, but an eye opener for the company, the company’s chairman and majority shareholder, Michael Shirima has said.

 

11 years ago

Judgment

Precision Air appeals against 1bn/


Daily News
Precision Air appeals against 1bn/- judgment
Daily News
PRECISION Air Services Limited operations are likely to be affected if the High Court Commercial Division's judgment ordering the airline to pay over 1bn/- to Unique Car Rentals and Travel Agency Limited is executed. In order to circumvent the situation, the ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Precision Air yaongeza safari

SHIRIKA la Ndege la  Precision Air limeendelea kuimarisha  na kuboresha huduma zake za usafiri wa anga  kwa kuongeza  safari katika  mikoa ya Kilimanjaro, Mtwara na  visiwa vya Zanzibar. Lengo la ...

 

10 years ago

TheCitizen

Precision Air, Jovago in new partnership

Precision Air (PW) and Africa’s hotel booking website -- Jovago.com – have struck a partnership deal that enables the airline’s passengers to pick hotels of their choice right from its (PW’s) website.

 

11 years ago

TheCitizen

Precision Air pledges more flights in TZ

Precision Air (PW) yesterday increased frequencies on three of its major routes as it seeks to cement its dominance amid growing competition from rivals.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani