WASANII WAUNGANA NA MABESTE KWENYE SHOO YA KUMCHANGIA MKEWE
Msanii Mabeste akiwapagawisha mashabiki. Msanii wa muziki, Bob Junior akifanya yake jukwaani. Mdada akipagawa na wimbo wa msanii Shebby Love (kushoto).…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania30 Sep
Mabeste na mkewe kwenye ‘Usiwe Bubu’
NA SHARIFA MMASI
MSANII wa hip hop nchini, William Ngwi ‘Mabeste’, anatarajiwa kuachia wimbo mpya alioimba peke yake utakaotamba kwa jina la ‘Usiwe Bubu’.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Mabeste alisema lengo la wimbo huo ni kuelimisha jamii kuwa na desturi ya kuweka mambo wazi ili kupata ufumbuzi utakaowatatulia matatizo.
“Niko njiani kuachia ngoma mpya itakayosikika masikioni mwa mashabiki kwa jina la ‘Usiwe Bubu’ ambayo nimeimba bila kumshirikisha mtu.
“Natoa wito kwa mashabiki wa...
10 years ago
CloudsFM06 Feb
H Baba awafungukia wasanii wanaokodisha watu kuwazomea wenzao kwenye shoo
Aidha msanii huyo alisema kuwa anasikitishwa sana na hali hiyo kwani anaona kuna hatari kubwa sana inakuja mbele kama hali itaendelea na...
10 years ago
CloudsFM06 Feb
H Baba awafungukia wasanii wanaokodisha watu kuwazomea wenzao kwenye shoo zao
Msanii wa Bongo Fleva,Hamis Baba amewafungukia baadhi ya wasanii wa Bongo Fleva wanaokodisha watu kwa kuwalipa fedha kwa ajili ya kuwazomea wasanii wengine kwenye shoo.
11 years ago
CloudsFM13 Jun
10 years ago
GPLSHOO YA MRS. MABESTE ILIVYOFANA NEW MAISHA CLUB DAR!
10 years ago
GPLMABESTE: WASANII BADO NAWAHITAJI
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-OxTyCl8EROw/VU_sILk4UMI/AAAAAAADmqE/RUj3QCLouTw/s72-c/Mohammed-IMG-20150510-WA0006.jpg)
Harambee ya Kumchangia Mohammed (Mtoto wa BI.MOZA) Kwenda kwenye matibabu India
![](http://4.bp.blogspot.com/-OxTyCl8EROw/VU_sILk4UMI/AAAAAAADmqE/RUj3QCLouTw/s640/Mohammed-IMG-20150510-WA0006.jpg)
Harambee itafanyika Kama ifuatavyo:Siku: Sunday - May 17, 2015 * SAA: Kuanzia 2pm-6pm
Address: Sligo Ave. PAB - Sligo Ave. Neighbor Park (Sligo Urban) 500 Sligo AVE Silver Spring MD, 20910
Kwa taarifa zaidi tafadhali wasiliana na:
Bi.Moza...
5 years ago
Bongo514 Feb
Mabeste awachana wasanii wenzake wanaodandia siasa
Mabeste ametoa ushauri kwa wasanii wenzake ambao wanajiingiza kwenye siasa na kusahau majukumu yao kwenye muziki.
Akizungumza na kipindi cha Mega Mix cha Abood FM, muimbaji huyo amesema, “Tufanye muziki,tusiconcetrate na siasa. Politics sasa hivi imeshika kuliko kitu kingine chochote na mpaka inasababisha baadhi ya artists kuachia track na zinakuwa zinafeli kwa sababu tu raia wamefocus sana kwenye politics kuliko burudani.”
“Unakuta sisi wasanii wengine tunaona ilituweze kutake attention na...