SHOO YA MRS. MABESTE ILIVYOFANA NEW MAISHA CLUB DAR!
Msanii wa Bongo fleva, Kadja Nito akitumbuiza. Mmoja wa wasanii waliohudhuria akiwapagawisha mashabiki. Msanii Mirror akifanya mambo jukwaani.Msanii Ali Kiba akiteta jambo na mmoja wa mashabiki wake.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Yaliyojiri katika shoo ya Twanga Pepeta kwenye Club ya Maisha jijini Dar
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/128.jpg)
Mwimbaji wa Twanga Pepeta, Salehe Kupaza akiimba kwa hisia kubwa kwa mashabiki wao waliofika kutizama shoo yao ya nguvu kulia ni Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu.
10 years ago
Vijimambo26 Sep
TWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU KWENYE CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Twanga Pepeta wafanya shoo ya nguvu Maisha Club usiku wa kuamkia leo jijini Dar
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa mashabiki wao kwenye shoo iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar
Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo iliyofanyika kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akicheza moja ya nyimbo zao kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SSGieiaE-NPL3W5hgFIZM9KGktHxZ1odCOKghDd-LCBXQfMcPt7bQhHPVEun8TcZBqqKTV7hAM9t2zKnFuIJ8ewtOnzzmmWU/MABESTECHARITYSHOW.jpg?width=640)
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA IDD MOSI KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
DC Makonda Idd Mosi kuzindua Club mpya ya Maisha Basement zamani New Maisha Club
Mratibu wa Burudani wa Club mpya ya ‘Maisha Basement’ zamani New Club Maisha, Hemed Kavu (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu uzinduzi wa Club hiyo utakaofanyika Idd Mosi katika Jengo la LAPF Towers lililopo mkabala na Makumbusho ya Taifa eneo la Kijitonyama ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda. Kulia ni Meneja Mkuu wa Club hiyo, Allan Ngugi na Meneja Uendeshaji wa Sam Kaliuki.
Mratibu...
10 years ago
MichuziMAKONDA KUZINDUA CLUB MPYA YA MAISHA BASEMENT ZAMANI NEW MAISHA CLUB
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10