TWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU KWENYE CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya 'Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa mashabiki wao kwenye shoo iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar
Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo iliyofanyika kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya 'Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akicheza moja ya nyimbo zao kwenye shoo hiyo.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA WAFANYA SHOO YA NGUVU CLUB YA MAISHA JIJINI DAR
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Twanga Pepeta wafanya shoo ya nguvu Maisha Club usiku wa kuamkia leo jijini Dar
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu (wa pili kutoka kulia), akiwa na Kalala Junior (wa pili kutoka kushoto) pamoja na Haji Ramadhani (wa kwanza kulia) wakitoa burudani kwa mashabiki wao kwenye shoo iliyofanyika club ya Maisha jijini Dar
Waimbaji wa Twanga Pepeta wakitoa burudani kwenye shoo iliyofanyika kwenye club ya Maisha jijini Dar usiku wa kuamkia leo.
Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu akicheza moja ya nyimbo zao kwenye...
10 years ago
Dewji Blog29 Aug
Yaliyojiri katika shoo ya Twanga Pepeta kwenye Club ya Maisha jijini Dar
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/08/128.jpg)
Mwimbaji wa Twanga Pepeta, Salehe Kupaza akiimba kwa hisia kubwa kwa mashabiki wao waliofika kutizama shoo yao ya nguvu kulia ni Kiongozi na mwimbaji wa bendi ya ‘Twanga Pepeta, Luiza Mbutu.
10 years ago
GPLTWANGA PEPETA NA FM ACADEMIA KUFANYA SHOO MACHI 28
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AZIKWA MAKUBURI YA KISUTU JIJINI DAR LEO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9py7Yh2XwUM/Uvu3mUAYRYI/AAAAAAAFMqM/DAsgfO7gl-I/s72-c/4.jpg)
T.B.L YALIBORESHA BONANZA LA TWANGA PEPETA LEADERS CLUB.
![](http://1.bp.blogspot.com/-9py7Yh2XwUM/Uvu3mUAYRYI/AAAAAAAFMqM/DAsgfO7gl-I/s1600/4.jpg)
KAMPUNI ya Bia (T.B.L) kupitia Brand ya KILIMANJARO imeamua kuliboresha Bonanza la Twanga Pepeta la kila Jumapili linalofanyika katika viwanja vya Leaders Club.
Maboresho hayo ni kutoa Bia moja ya Kilimanjaro kwa kila atakayelipa kiingilio. Licha ya kupewa Bia moja ya Kilimanjaro, kiingilio cha mlangoni kimepunguzwa sana mpaka kufikia Tshs 2,500. Kwa kawaida kiingilio cha Leaders huwa ni Tshs 5,000/= lakini TBL imeamua kukipunguza mpaka Tsh 2,500 kwa kuwa italipia mapungufu. TBL...
10 years ago
GPLSHOO YA MRS. MABESTE ILIVYOFANA NEW MAISHA CLUB DAR!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0PaAyo4W*ZpF4kec7xVd2L7H1hp1-exOCtZojfXG*XZvwka5H0wHwTNZndhCm2jl6ehgKVj6J9QSGei2vWR-X1GCyT3Qudy/TWANGAPEPETA5.jpg?width=650)
ONYESHO LA KUMPONGEZA LUIZA MBUTU KUTIMIZA MIAKA 16 NDANI YA TWANGA PEPETA LAFANA MANGO GARDEN JIJINI DAR