Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabeste awachana wasanii wenzake wanaodandia siasa

Mabeste ametoa ushauri kwa wasanii wenzake ambao wanajiingiza kwenye siasa na kusahau majukumu yao kwenye muziki.

Akizungumza na kipindi cha Mega Mix cha Abood FM, muimbaji huyo amesema, “Tufanye muziki,tusiconcetrate na siasa. Politics sasa hivi imeshika kuliko kitu kingine chochote na mpaka inasababisha baadhi ya artists kuachia track na zinakuwa zinafeli kwa sababu tu raia wamefocus sana kwenye politics kuliko burudani.”

“Unakuta sisi wasanii wengine tunaona ilituweze kutake attention na...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPOTO AWACHANA WASANII KUKIMBILIA NIGERIA, SAUZ

Mrisho Mpoto akisikiliza moja ya maswali kutoka kwa mtangazaji wa Global TV.  Mrisho Mpoto akijibu moja ya maswali. Mtangazaji wa Global TV Online, Shovienly (Kushoto) akifanya mahojiano na Mrisho…

 

11 years ago

GPL

CLOUD AWACHANA WASANII WANAOLIA KINAFIKI MISIBANI

Stori: Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud’ hivi karibuni aliwachana wasanii wa kike na kuwataka kuachana na tabia ya kulia na kuzimia kinafiki kwenye misiba kwani wanaonesha picha mbaya katika jamii. Wasanii wa Bongo Muvi na wadau mbalimbali wakiomboleza kifo cha Msanii mwenzao Recho. Akizungumza siku moja kabla ya mazishi ya aliyekuwa msanii wa filamu, Sheila Haule ‘Recho’, Cloud...

 

10 years ago

GPL

MABESTE: WASANII BADO NAWAHITAJI

Staa wa ngoma ya Baadaye Sana, Venance Mabeste akiwa katika pozi kabla ya kufanya mahojiana na Global TV Online. Mabeste akiwa katika pozi.…

 

10 years ago

GPL

WASANII WAUNGANA NA MABESTE KWENYE SHOO YA KUMCHANGIA MKEWE

Msanii Mabeste akiwapagawisha mashabiki. Msanii wa muziki, Bob Junior akifanya yake jukwaani. Mdada akipagawa na wimbo wa msanii Shebby Love (kushoto).…

 

9 years ago

Bongo5

Mabeste aanza kutoa semina kwa wasanii wachanga

Rapper Mabeste ameanzisha semina za kuelimisha wasanii wachanga pamoja na watu wa kawaida kupitia changamoto alizozipitia katika maisha ya muziki wake. Mabeste ameiambia Bongo5 kuwa tayari ameshaanza semina hizo katika mkoa wa Morogoro. “Mimi hapa nilipofika nimeona nina mapungufu mengi ambayo yamesababisha nishindwe kufikia malengo yangu katika muda muafaka,” amesema. “Nimeona nikikaa na mtu ambaye […]

 

9 years ago

Bongo5

Tunda Man adai kuhujumiwa na wasanii wenzake

Tunda Man amedai kuwa amegundua kuwepo wasanii wanaohujumu wasanii wenzao ili wasifanikiwe. Muimbaji huyo ameiambia 255 ya XXL kupitia Clouds FM kuwa kupitia utafiti alioufanya, amegundua wasanii hawana ushirikiano na wapo tayari kuwafanya wenzake wasifanikiwe. “Sijakurupa kusema hivyo, nimeshafanya research na nikagundua,” alisema. “Mimi kuna siku nilikuwa na show UK, promota akaniambia natafuta namba yako […]

 

10 years ago

Bongo5

Mabeste: Mabeste asimulia mke wake alivyougua kwa muda mrefu hadi kudhani atampoteza

Rapper Mabeste ameeleza kwa urefu jinsi mke wake alivyougua kwa muda mrefu mara tu baada ya kujifungua mtoto wao wa kwanza, Kendrick. Mabeste amesema mke wake ambaye pia ndio meneja wake alizidiwa hadi ikafika wakati akahisi atampoteza. Kupitia Instagram, hivi ndivyo alivyoandika: “Wabongo hawakosi cha kusema! Okay its true my fans nime wa promise sana […]

 

11 years ago

GPL

MIAKA 2 YA KIFO CHA KANUMBA: WASANII WENZAKE WALIVYOMKUMBUKA

Marehemu Steven Kanumba. Flora Mvungi. Florah Mvungi
It has been 2 years since ututoke ndugu yetu,Mungu akupunguzie adhabu,tunakuombea na tunakukumbuka sana kwa mchango wako mkubwa kwenye tasnia ya filamu Tanzania,tunaadhimisha KANUMBA DAY leo tar 7 mwezi wa 4 kwa pamoja tutaenda kanisani temboni saa tatu asubuhi kisha makaburini na baadae dar live,karibuni sana tujumuike pamoja.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

ALICHOKISEMA DIAMOND KUHUSIANA NA HABARI YA KUWANYANYASA WASANII WENZAKE MOMBASA

Nimesikitishwa Sana na habari zilizoandikwa na moja ya chombo cha habari, kuwa eti nliwanyanyasa wasanii wenzangu Nyota ndogo na Susumila, kwa kuwafukuza kwenye VIP lounge na sijui eti niliwazuia wasitumie maji ya chupa hivi inaingia akilini kweli hii!!!?? Ningependa kutumia nafasi hii kuwajulisha mashabiki zangu waliokutana na story hizo kuwa sio za kweli ni zenye lengo la kudhoofisha Mahusiano yetu mazuri ya wasanii Wa Africa mashariki..kama BigEye ya Uganda ilivyowahi kuandika habari za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani