Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CLOUD AWACHANA WASANII WANAOLIA KINAFIKI MISIBANI

Stori: Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud’ hivi karibuni aliwachana wasanii wa kike na kuwataka kuachana na tabia ya kulia na kuzimia kinafiki kwenye misiba kwani wanaonesha picha mbaya katika jamii. Wasanii wa Bongo Muvi na wadau mbalimbali wakiomboleza kifo cha Msanii mwenzao Recho. Akizungumza siku moja kabla ya mazishi ya aliyekuwa msanii wa filamu, Sheila Haule ‘Recho’, Cloud...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MPOTO AWACHANA WASANII KUKIMBILIA NIGERIA, SAUZ

Mrisho Mpoto akisikiliza moja ya maswali kutoka kwa mtangazaji wa Global TV.  Mrisho Mpoto akijibu moja ya maswali. Mtangazaji wa Global TV Online, Shovienly (Kushoto) akifanya mahojiano na Mrisho…

 

5 years ago

Bongo5

Mabeste awachana wasanii wenzake wanaodandia siasa

Mabeste ametoa ushauri kwa wasanii wenzake ambao wanajiingiza kwenye siasa na kusahau majukumu yao kwenye muziki.

Akizungumza na kipindi cha Mega Mix cha Abood FM, muimbaji huyo amesema, “Tufanye muziki,tusiconcetrate na siasa. Politics sasa hivi imeshika kuliko kitu kingine chochote na mpaka inasababisha baadhi ya artists kuachia track na zinakuwa zinafeli kwa sababu tu raia wamefocus sana kwenye politics kuliko burudani.”

“Unakuta sisi wasanii wengine tunaona ilituweze kutake attention na...

 

11 years ago

GPL

WASTARA, CLOUD WAZURU MAKABURI YA WASANII WENZAO

Cloud, Mtitu, Wastara, Steve Nyerere, Barafu na Chiki katika kaburi la Adam Kuambiana.…

 

11 years ago

GPL

WASANII CLOUD, RIYAMA, MONALISA NA WASTARA WALA SHAVU UK

Wasanii Riyama, Cloud, Monalisa na Wastara wamekula shavu kwenda Uingereza kucheza filamu ambapo Global TV Online ilikuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati wasanii hao wakikwea pipa kuelekea…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Acheni kumuenzi Nyerere kinafiki

UNAFIKI ni hali au tendo la kujifanya kuwa mkweli au kujidai kuwa ni rafiki kumbe ni adui. Zaidi ya robo tatu ya viongozi tulionao baada ya Mwalimu Julius Nyerere ni...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wastara: Cheka Kinafiki Kama Ulienae Mnafiki!

Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wastara Juma alifunguka mtandaoni kama ifuatavyo;

"Siku zote napenda kusmile hata kama nina magumu napitia, siku zote moyo wangu baridi upoza machngu ninayopewa na ninayotwikwa na kulazimishwa kuumizwa hata kama staki lakini tabasamu moyo wangu uliyopoa sura yangu ya upole isiyo na hatia ndio imekuwa fimbo ya kuchapwa kwa kuamini nina moyo wa kusahau mabaya na mwepesi wa kusamehe".

"Kweli niko hivyo lakini nikikusamehe kwa mabaya uliyonitendea auwezi kuwa na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Aunt Ezekiel Asema Haya Kuhusu Mastaa Kujiremba Misibani

Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amewaponda wasanii wanaokwenda misibani wakiwa wamejipara kupita kiasi.

Staa  huyo aliwaponda mastaa wenzake wenye tabia ya kutumia sehemu za misiba kugeuza uwanja wa kuonyesha mavazi na vito vya thamani katika miili yao.

“Wenye tabia hizo acheni kujipodoa katika msiba, tunakera wenzetu ndiyo maana linaongelewa kila siku tuishi kulingana na utamaduni wetu tusiige,’’ alisema huku akifafanua zaidi.

“Wenzetu wakiwa katika majonzi nasi tufanane nao tusiende...

 

5 years ago

Michuzi

Anusurika kichapo mbele ya waombolezaji makaburini kwa kuto kuhudhuria misibani

Kijana Mmoja aliyefahamika kwa jina la Damian Lawa mkazi wa kijiji cha Wenda halmashauri ya wilaya ya Iringa amenusurika kuchapwa viboko Makaburini mbele ya waombolezaji katika mazishi ya mama yake Mzazi Telesia Mvuma kutokana na tuhuma za kutokuwa na utamaduni wa kuhudhuria misiba inayotokea katika eneo hilo.

Kijana huyo amejikuta katika wakati mgumu baada ya wanakijiji kukamilisha mazishi ya mama yake mzazi ambapo mwenyekiti wa kijiji cha Wenda Denis Mpogole akaamuru familia ya bwana...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kitale Awachana ‘Bongo Movies’

Msanii wa filamu na vichekesho, Musa Kitale jioni ya leo akizungumza kwenye studio za  Magic FM,kipindi cha Afrika Kabisa  kwenye kipengele cha African Movies, alisema wazi kuwa hawakubali kabisa bongo movies kwani wanapenda kurudia  rudia na kukopi filamu za nje na kusisitiza hata akiziangalia filamu zao huwa haoni jipya na hazina ubunifu.

Akaendelea kufafanua kuwa yeye sio mwana Bongo Movies na wala hayupo karibu nao kwani anaogopa kuwaambukizwa ‘kaugonjwa’ kakukopi kopi kitu mbacho...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani