CLOUD AWACHANA WASANII WANAOLIA KINAFIKI MISIBANI
![](http://api.ning.com:80/files/CrfMSzuE5d6wWmh5XW9micMTMxE004i3E-NvdqxLIIIC4ikTycClZiy*7UMiIB9svmfHQR1Qk2BVsGmnVo2bgelGRHVEklXe/cloudi.jpg)
Stori: Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud’ hivi karibuni aliwachana wasanii wa kike na kuwataka kuachana na tabia ya kulia na kuzimia kinafiki kwenye misiba kwani wanaonesha picha mbaya katika jamii. Wasanii wa Bongo Muvi na wadau mbalimbali wakiomboleza kifo cha Msanii mwenzao Recho. Akizungumza siku moja kabla ya mazishi ya aliyekuwa msanii wa filamu, Sheila Haule ‘Recho’, Cloud...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLMPOTO AWACHANA WASANII KUKIMBILIA NIGERIA, SAUZ
5 years ago
Bongo514 Feb
Mabeste awachana wasanii wenzake wanaodandia siasa
Mabeste ametoa ushauri kwa wasanii wenzake ambao wanajiingiza kwenye siasa na kusahau majukumu yao kwenye muziki.
Akizungumza na kipindi cha Mega Mix cha Abood FM, muimbaji huyo amesema, “Tufanye muziki,tusiconcetrate na siasa. Politics sasa hivi imeshika kuliko kitu kingine chochote na mpaka inasababisha baadhi ya artists kuachia track na zinakuwa zinafeli kwa sababu tu raia wamefocus sana kwenye politics kuliko burudani.”
“Unakuta sisi wasanii wengine tunaona ilituweze kutake attention na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vuUh0rgUyT7rknZ3NKF2WWhwLvKNQm33dfb6yJ8w5dA-T8M5apwasd3JRHA8*Okq6nAxH8EcvmOcjT1Xxw*JcjiBbTVh9GND/2b.jpg?width=650)
WASTARA, CLOUD WAZURU MAKABURI YA WASANII WENZAO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
WASANII CLOUD, RIYAMA, MONALISA NA WASTARA WALA SHAVU UK
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Acheni kumuenzi Nyerere kinafiki
UNAFIKI ni hali au tendo la kujifanya kuwa mkweli au kujidai kuwa ni rafiki kumbe ni adui. Zaidi ya robo tatu ya viongozi tulionao baada ya Mwalimu Julius Nyerere ni...
10 years ago
Bongo Movies23 Feb
Wastara: Cheka Kinafiki Kama Ulienae Mnafiki!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wastara Juma alifunguka mtandaoni kama ifuatavyo;
"Siku zote napenda kusmile hata kama nina magumu napitia, siku zote moyo wangu baridi upoza machngu ninayopewa na ninayotwikwa na kulazimishwa kuumizwa hata kama staki lakini tabasamu moyo wangu uliyopoa sura yangu ya upole isiyo na hatia ndio imekuwa fimbo ya kuchapwa kwa kuamini nina moyo wa kusahau mabaya na mwepesi wa kusamehe".
"Kweli niko hivyo lakini nikikusamehe kwa mabaya uliyonitendea auwezi kuwa na...
10 years ago
Bongo Movies28 Apr
Aunt Ezekiel Asema Haya Kuhusu Mastaa Kujiremba Misibani
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel amewaponda wasanii wanaokwenda misibani wakiwa wamejipara kupita kiasi.
Staa huyo aliwaponda mastaa wenzake wenye tabia ya kutumia sehemu za misiba kugeuza uwanja wa kuonyesha mavazi na vito vya thamani katika miili yao.
“Wenye tabia hizo acheni kujipodoa katika msiba, tunakera wenzetu ndiyo maana linaongelewa kila siku tuishi kulingana na utamaduni wetu tusiige,’’ alisema huku akifafanua zaidi.
“Wenzetu wakiwa katika majonzi nasi tufanane nao tusiende...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s72-c/FIMBO.jpg)
Anusurika kichapo mbele ya waombolezaji makaburini kwa kuto kuhudhuria misibani
![](https://1.bp.blogspot.com/-3Vsr2OVgSbo/XtpGcAeVctI/AAAAAAALstw/yb0p5z2Z-cow-GktMUAZU6GSAoh3AlKQgCLcBGAsYHQ/s400/FIMBO.jpg)
Kijana huyo amejikuta katika wakati mgumu baada ya wanakijiji kukamilisha mazishi ya mama yake mzazi ambapo mwenyekiti wa kijiji cha Wenda Denis Mpogole akaamuru familia ya bwana...
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Kitale Awachana ‘Bongo Movies’
Msanii wa filamu na vichekesho, Musa Kitale jioni ya leo akizungumza kwenye studio za Magic FM,kipindi cha Afrika Kabisa kwenye kipengele cha African Movies, alisema wazi kuwa hawakubali kabisa bongo movies kwani wanapenda kurudia rudia na kukopi filamu za nje na kusisitiza hata akiziangalia filamu zao huwa haoni jipya na hazina ubunifu.
Akaendelea kufafanua kuwa yeye sio mwana Bongo Movies na wala hayupo karibu nao kwani anaogopa kuwaambukizwa ‘kaugonjwa’ kakukopi kopi kitu mbacho...