Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WASANII CLOUD, RIYAMA, MONALISA NA WASTARA WALA SHAVU UK

Wasanii Riyama, Cloud, Monalisa na Wastara wamekula shavu kwenda Uingereza kucheza filamu ambapo Global TV Online ilikuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati wasanii hao wakikwea pipa kuelekea…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

WASTARA, CLOUD WAZURU MAKABURI YA WASANII WENZAO

Cloud, Mtitu, Wastara, Steve Nyerere, Barafu na Chiki katika kaburi la Adam Kuambiana.…

 

11 years ago

GPL

KAMWAGA, MUHAJI WALA SHAVU SIMBA SC

Katibu Mkuu mpya wa Simba, Ezekiel Kamwaga. ALIYEKUWA Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Evodius Mtawala aliyeajiriwa TFF akiwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanachama na Sheria. Simba imemteua pia Mwandishi Mkongwe wa habari za michezo, Asha Muhaji kuwa Ofisa Habari mpya wa klabu hiyo. ...

 

11 years ago

GPL

MASTAA WA FILAMU WALA SHAVU MAJUU

Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Davutoglu akizungumza mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) .
JB akielezea safari yao itakavyokuwa.
Mzee Majuto akielezea furaha aliyokuwa nayo kutokana na safari hiyo.…

 

10 years ago

GPL

WASTARA ALA SHAVU LA UBALOZI

Stori:  Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MKALI wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amepata shavu la kuwa balozi wa kampeni ya kumsomesha mtoto wa kike ijulikanayo kama Morogoro Education Development Organization (MEDO). Mkali wa sinema za Kibongo, Wastara Juma akisaini mkataba wa kuwa balozi wa kampeni ya MEDO. Hafla fupi ya kusimikwa ubalozi huo na kusaini mkataba, ilifanyika hivi karibuni katika Ukumbi wa Hoteli ya Tamal,...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond, Shaa, Nameless na STL wala shavu la TV Show

Diamond, Shaa, Nameless na STL wataonekana kwenye reality TV show inayotarajiwa kuwa gumzo Afrika Mashariki, kwa mujibu wa mtandao wa Ghafla wa Kenya. Haijafamika jina la kipindi hicho lakini kuna uwezekano kipindi hicho kikawa ni Maisha Superstar ambacho ni mashindano ya kusaka vipaji vya kuimba. Kipindi hicho kitaoneshwa kwenye kituo cha Maisha Magic. “This will […]

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Ally Ala Shavu, Asaini Mkataba ‘Mnono’ na Kampuni Kubwa ya Filamu Nchini Kenya

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amesaini mkataba mnono wa kucheza filamu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu nchini Kenya.

Riyama alisema kuwa amefanya mazungumzo na kampuni hiyo mjini Mombasa na tayari wameshaanza kufanya kazi na kumlipa kitita kinono cha fedha ambacho hakukitaja.

Aidha amesema kuwa wadau wengine wa filamu nchini Kenya wametangaza dau kubwa zaidi ili msanii huyo aweze kucheza tamthilia zinazorushwa kwenye Televisheni mbali mbali nchini humo.

Cloudsfm.com

 

11 years ago

GPL

CLOUD AWACHANA WASANII WANAOLIA KINAFIKI MISIBANI

Stori: Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Issa Musa ‘Cloud’ hivi karibuni aliwachana wasanii wa kike na kuwataka kuachana na tabia ya kulia na kuzimia kinafiki kwenye misiba kwani wanaonesha picha mbaya katika jamii. Wasanii wa Bongo Muvi na wadau mbalimbali wakiomboleza kifo cha Msanii mwenzao Recho. Akizungumza siku moja kabla ya mazishi ya aliyekuwa msanii wa filamu, Sheila Haule ‘Recho’, Cloud...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani