Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MASTAA WA FILAMU WALA SHAVU MAJUU

Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Davutoglu akizungumza mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) .
JB akielezea safari yao itakavyokuwa.
Mzee Majuto akielezea furaha aliyokuwa nayo kutokana na safari hiyo.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KAMWAGA, MUHAJI WALA SHAVU SIMBA SC

Katibu Mkuu mpya wa Simba, Ezekiel Kamwaga. ALIYEKUWA Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga ameteuliwa kuwa Katibu Mkuu mpya wa timu hiyo akichukua nafasi ya Evodius Mtawala aliyeajiriwa TFF akiwa Mkurugenzi wa Kitengo cha Wanachama na Sheria. Simba imemteua pia Mwandishi Mkongwe wa habari za michezo, Asha Muhaji kuwa Ofisa Habari mpya wa klabu hiyo. ...

 

11 years ago

GPL

WASANII CLOUD, RIYAMA, MONALISA NA WASTARA WALA SHAVU UK

Wasanii Riyama, Cloud, Monalisa na Wastara wamekula shavu kwenda Uingereza kucheza filamu ambapo Global TV Online ilikuwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere wakati wasanii hao wakikwea pipa kuelekea…

 

10 years ago

Bongo5

Diamond, Shaa, Nameless na STL wala shavu la TV Show

Diamond, Shaa, Nameless na STL wataonekana kwenye reality TV show inayotarajiwa kuwa gumzo Afrika Mashariki, kwa mujibu wa mtandao wa Ghafla wa Kenya. Haijafamika jina la kipindi hicho lakini kuna uwezekano kipindi hicho kikawa ni Maisha Superstar ambacho ni mashindano ya kusaka vipaji vya kuimba. Kipindi hicho kitaoneshwa kwenye kituo cha Maisha Magic. “This will […]

 

11 years ago

GPL

MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK

Mr. Nice (kulia). Mwanamuziki aliyevuma sana kipindi cha nyuma Mr. Nice amealikwa kufanya filamu mpya na kampuni ya VAD production iliyopo nchini Denmark inayomilikiwa na mtanzania anayeishi nchini humo Mr. Babingwa.Katika mwaliko huo Mr. Mr nice alipata nafasi ya kufanya mahojiano na mtangazaji wa Swahili talk radio ya nchini humo.

 

9 years ago

Bongo5

Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake

Meek-Mill

Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.

Meek-Mill

Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.

Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...

 

10 years ago

Bongo Movies

Riyama Ally Ala Shavu, Asaini Mkataba ‘Mnono’ na Kampuni Kubwa ya Filamu Nchini Kenya

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amesaini mkataba mnono wa kucheza filamu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu nchini Kenya.

Riyama alisema kuwa amefanya mazungumzo na kampuni hiyo mjini Mombasa na tayari wameshaanza kufanya kazi na kumlipa kitita kinono cha fedha ambacho hakukitaja.

Aidha amesema kuwa wadau wengine wa filamu nchini Kenya wametangaza dau kubwa zaidi ili msanii huyo aweze kucheza tamthilia zinazorushwa kwenye Televisheni mbali mbali nchini humo.

Cloudsfm.com

 

11 years ago

Bongo5

Kabi Gethaiga: Mkenya aliyeigiza filamu ya Going Bongo aliyeshika nafasi ya 2 kwenye usaili uliompa Lupita Nyong’o shavu la ’12 Years A Slave’

Muigizaji wa Kenya, Kabi Gethaiga aliyeigiza kwenye filamu ya kwanza Afrika Mashariki kuuzwa kupitia iTunes, Going Bongo, angekuwa ‘Patsey’ kwenye filamu ya ’12 Years A Slave’, kama Lupita Nyong’o asingekuwepo. Kabi kwenye filamu ya Going Bongo Hata hivyo kwenye usaili wa kumpata msichana aliyeigiza uhusika huo alishika nafasi ya pili, nyuma ya Lupita ambaye amegeuka […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani