MASTAA WA FILAMU WALA SHAVU MAJUU
Balozi wa Uturuki nchini Tanzania, Ali Davutoglu akizungumza mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) . JB akielezea safari yao itakavyokuwa. Mzee Majuto akielezea furaha aliyokuwa nayo kutokana na safari hiyo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jzsUW*22gf1bPR6qUl1fTu*ZvhkWMvtR8w0jQ5bMWsLB8JnAA5rtJPm0ywFAVlpRfYNYsfVUCtHUQGOW4rZuXWWYfFnAPLjl/1EzekielKamwaga.jpg?width=650)
KAMWAGA, MUHAJI WALA SHAVU SIMBA SC
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
WASANII CLOUD, RIYAMA, MONALISA NA WASTARA WALA SHAVU UK
10 years ago
Bongo518 Nov
Diamond, Shaa, Nameless na STL wala shavu la TV Show
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0lwRQG-ET4chEeBGWFBhMi471doVc8Pfzul9jnR0mbLAeox1x-*th6qnJ9Et4*PKBiqVcvuVP7fi6asisBuN67Y/1380173_631007213622695_1575456823_n.jpg?width=650)
MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK
9 years ago
Bongo522 Dec
Meek Mill kukosa shavu la kuigiza filamu ya Will Smith kutokana na kesi yake
![Meek-Mill](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Meek-Mill-300x194.jpg)
Rapper Meek Mill atashindwa kuigiza uhusika wake katika filamu ya Will Smith kutokana na hivi karibuni kupatikana na hatia ya kukiuka masharti ya muda wa matazamio aliopewa na mahakama kufuatia kesi ya miaka 15 iliyopita ya kumiliki silaha na madawa ya kulevya.
Rapper huyo wa Philadelphia, anatarajiwa kusomewa hukumu yake February 5.
Kwa mujibu wa mtandao wa Page Six, Meek Mill alikuwa amepanga kusafiri kwenda Hollywood November kujadili uwezekano wa kuigiza kwenye filamu iitwayo ’12...
10 years ago
Bongo Movies10 Jun
Riyama Ally Ala Shavu, Asaini Mkataba ‘Mnono’ na Kampuni Kubwa ya Filamu Nchini Kenya
Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally amesaini mkataba mnono wa kucheza filamu na kampuni maarufu ya kusambaza filamu nchini Kenya.
Riyama alisema kuwa amefanya mazungumzo na kampuni hiyo mjini Mombasa na tayari wameshaanza kufanya kazi na kumlipa kitita kinono cha fedha ambacho hakukitaja.
Aidha amesema kuwa wadau wengine wa filamu nchini Kenya wametangaza dau kubwa zaidi ili msanii huyo aweze kucheza tamthilia zinazorushwa kwenye Televisheni mbali mbali nchini humo.
Cloudsfm.com
11 years ago
Bongo519 Jul
Kabi Gethaiga: Mkenya aliyeigiza filamu ya Going Bongo aliyeshika nafasi ya 2 kwenye usaili uliompa Lupita Nyong’o shavu la ’12 Years A Slave’