Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kabi Gethaiga: Mkenya aliyeigiza filamu ya Going Bongo aliyeshika nafasi ya 2 kwenye usaili uliompa Lupita Nyong’o shavu la ’12 Years A Slave’

Muigizaji wa Kenya, Kabi Gethaiga aliyeigiza kwenye filamu ya kwanza Afrika Mashariki kuuzwa kupitia iTunes, Going Bongo, angekuwa ‘Patsey’ kwenye filamu ya ’12 Years A Slave’, kama Lupita Nyong’o asingekuwepo. Kabi kwenye filamu ya Going Bongo Hata hivyo kwenye usaili wa kumpata msichana aliyeigiza uhusika huo alishika nafasi ya pili, nyuma ya Lupita ambaye amegeuka […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Mdogo wa kiume wa Lupita Nyong’o, Peter Nyong’o apata shavu la kwanza la kuigiza filamu ya Hollywood

Mdogo wa kiume wa mwigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o aitwaye Peter Nyong’o ameanza kufata nyayo za dada yake kwa kupata shavu la kuigiza kwenye filamu mpya huko Hollywood. Peter amepata nafasi ya kucheza kwenye filamu ya ‘Nocturnal Animals’ ya Tom Ford ambayo itatoka mwakani 2016. Hii itakuwa ndio mara yake ya kwanza kugiza kwenye filamu […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

LUPITA NYONG’O: Mwanadada Mkenya anayetikisa Hollywood

ILIKUWA ni nadra kwa waigizaji wa Afrika Mashariki kung’ara katika medani za filamu hata wanapopata nafasi ya kufanya kazi na nyota wa Hollywood. Pamoja na kupata bahati hiyo  mara kadhaa,...

 

9 years ago

Bongo5

Mkenya ala shavu kuhusika kwenye series maarufu ya Marekani, The Blacklist

Muigizaji wa Kenya, Edi Gathegi, amekula shavu la kuigiza kwenye msimu wa tatu wa series ya kimarekani, The Blacklist. Gathegi alizaliwa Eastlands, Nairobi na kukulia California, Marekani. Amewahi kuigiza kwenye filamu kubwa kama X Men, Twilight na House. Kwenye msimu wa tatu wa series hiyo, Gathegi atakuwa upande wa maadui na atajulikana kama Mr. Solomon. […]

 

10 years ago

Bongo5

Wezi waiba gauni la Lupita Nyong’o alilovaa kwenye tuzo za Oscars 2015 lenye thamani ya shilingi milioni 274

Gauni la muigizaji wa Kenya, Lupita Nyong’o lenye thamani ya $150,000 (zaidi ya shilingi milioni 274) la Calvin Klein alilolivaa kwenye tuzo za Oscars wiki iliyopita limeibiwa, polisi wamesema jana. Gauni hilo lililotengenezwa maalum kwaajili yake lilikuwa limezungushiwa vigolori 6,000 vya rangi nyeupe. Liliibiwa kwenye chumba chake cha London Hotel iliyopo West Hollywood mchana, amesema […]

 

11 years ago

BBC

Oscar glory for Slave star Nyong’o

Kenyan Lupita Nyong'o wins the best supporting actress Oscar for her role in 12 Years a Slave.

 

11 years ago

Mwananchi

Aliyeshika nafasi ya tatu azimia

Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya tatu kwa ufaulu kitaifa katika Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne wa 2013, jana alipoteza fahamu kwa muda baada ya kupata matokeo hayo.

 

9 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani