Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyeshika nafasi ya tatu azimia

Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya tatu kwa ufaulu kitaifa katika Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne wa 2013, jana alipoteza fahamu kwa muda baada ya kupata matokeo hayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Kabi Gethaiga: Mkenya aliyeigiza filamu ya Going Bongo aliyeshika nafasi ya 2 kwenye usaili uliompa Lupita Nyong’o shavu la ’12 Years A Slave’

Muigizaji wa Kenya, Kabi Gethaiga aliyeigiza kwenye filamu ya kwanza Afrika Mashariki kuuzwa kupitia iTunes, Going Bongo, angekuwa ‘Patsey’ kwenye filamu ya ’12 Years A Slave’, kama Lupita Nyong’o asingekuwepo. Kabi kwenye filamu ya Going Bongo Hata hivyo kwenye usaili wa kumpata msichana aliyeigiza uhusika huo alishika nafasi ya pili, nyuma ya Lupita ambaye amegeuka […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars yasaka nafasi ya tatu

MATUMAINI pekee ya wapenzi na mashabiki wa soka wa Tanzania bara, ni kuona timu yao ya Kilimanjaro Stars leo inaifunga Zambia katika mechi ya kuwania nafasi ya tatu ya michuano...

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U yakwea nafasi ya tatu

Manchester United ilikwea hadi nafasi ya tatuLigi Kuu ya England baada ya kuwaadhibu wapinzani wao Southampton magoli 2 - 1.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Loga sasa awaza nafasi ya tatu

BAADA ya Simba kukosa mwelekeo katika Ligi Kuu Tanzania Bara, Kocha Mkuu wa timu hiyo, Zdravko Logarusic, ametamba kuhakikisha wanashinda mechi zilizosalia ili walau washike nafasi tatu za juu. Simba...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA WACHUKUA NAFASI YA TATU MASHINDANO YA KUCHEZA MUZIKI KENYA

Washindi wa shindano la kucheza muziki, The Band wakionyesha mfano wa hundi ya shilingi milioni 1 ya Kenya.Washindi wa Sakata Mashariki 2014, The Band kutoka Kenya wakipewa mfano wa hundi kama zawadiKundi la DSI likiwa katika mchuano huo jana usiku.Washindi wa pili kundi la IDU kutoka Uganda likiwa katika kucheza.Kundi la kucheza muziki lililokuwa likiwakilisha Tanzania, T-Africa likiwa katika pozi kusubiri matokeo.kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Majaji wakifuatilia shindano hilo la kucheza...

 

9 years ago

Michuzi

TANZANIA YASHIKA NAFASI YA TATU KATIKA UWAZI WA BAJETI KWA NCHI ZA A.MASHARIKI

 Meneja wa Program wa Haki Elimu,Godfrey Bonaventura akizungumza na waandishi wa habari juu ya utafiti uliofanywa na International Budget Partinership leo jijini Dar es Salaam,Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Haki Elimu,John KalageMkurugenzi Mtendaji wa Haki Elimu, John Kalage akizungumza na waandishi wa habari leo wakati wa utoaji wa Uwazi wa Bajeti katika utafiti uliofanywa na Interntional Budget  Partinaship iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam.kushoto ni Meneja Program wa Haki Elimu,...

 

10 years ago

Michuzi

Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball (U18) yashika nafasi ya tatu mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia

Timu ya Taifa ya Mchezo wa Baseball baada ya ushindi wa nafasi ya tatu (Bronze Medal) katika mashindano ya Kufaulu kushiriki kombe la Dunia la Mchezo wa Baseball Umri chini ya Miaka 18. Mashindano hayo yalifanyika nchini Kenya katika mji wa Meru tarehe 15 - 20 Disemba, 2014 na yalikuwa kutafuta tiketi kwa Bara la Afrika ya kushiriki mashindano ya Kombe la Dunia yatakayofanyika hapo mwakani 2015 katika jiji la Tokyo, Japan.

 

11 years ago

GPL

WEMA AZIMIA

Stori: waandishi wetu
CHUKI tu! Katika jambo ambalo limeuumiza moyo wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ tangu awe staa, ni ishu iliyotokea wikiendi iliyopita baada ya mtu asiyejulikana kutengeneza picha chafu ya mama mzazi wa mrembo huyo, Mariam Sepetu na kisha kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho kilimshtusha na kujikuta akipoteza fahamu (kuzimiainatoka uk.1 Diva katika...

 

11 years ago

GPL

DENTI ABAKWA, AZIMIA, ALAZWA

Stori: Haruni Sanchawa
MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Liami wilayani Ifakara mkoani Morogoro (jina limehifadhiwa), amebakwa na watu wasiojulikana alfajiri ya Mei 5, mwaka huu nyumbani kwa bibi yake. Mwanafunzi ambaye jina lake limehifadhiwa akiwa hoi hospitali baada ya kubakwa. Akizungumza na gazeti hili, mama wa binti huyo mwenye umri wa miaka 13, Neema Ally akiwa wodi A ya watoto katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alisema...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani