Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WEMA AZIMIA

Stori: waandishi wetu
CHUKI tu! Katika jambo ambalo limeuumiza moyo wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ tangu awe staa, ni ishu iliyotokea wikiendi iliyopita baada ya mtu asiyejulikana kutengeneza picha chafu ya mama mzazi wa mrembo huyo, Mariam Sepetu na kisha kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho kilimshtusha na kujikuta akipoteza fahamu (kuzimiainatoka uk.1 Diva katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NUH AMUOMBA WEMA PENZI, SHILOLE AZIMIA!

Musa mateja YELEUWIII! Katika hali ya kushangaza, sauti ya mpenzi wa staa wa muziki na filamu Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ inayosikika akimtongoza Wema Sepetu imemfikia Shilole na kusababisha azimie, Ijumaa Wikienda linakupa ‘ubuyu’ kamili. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1OJUPvy ...

 

11 years ago

GPL

DENTI ABAKWA, AZIMIA, ALAZWA

Stori: Haruni Sanchawa
MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Liami wilayani Ifakara mkoani Morogoro (jina limehifadhiwa), amebakwa na watu wasiojulikana alfajiri ya Mei 5, mwaka huu nyumbani kwa bibi yake. Mwanafunzi ambaye jina lake limehifadhiwa akiwa hoi hospitali baada ya kubakwa. Akizungumza na gazeti hili, mama wa binti huyo mwenye umri wa miaka 13, Neema Ally akiwa wodi A ya watoto katika Hospitali ya Taifa Muhimbili alisema...

 

10 years ago

GPL

SANGOMA AZIMIA AKITOA MAJINI!

Stori: Denis Mtima
INASHANGAZA sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida mganga wa kienyeji ‘sangoma’ mmoja aliyefahamika kwa jina la Lambalamba amejikuta akiingia kwenye hatua ya nusu kifo kufuatia kupoteza fahamu baada ya kuelemewa na majini aliyokuwa akiyatoa shuleni. Sangoma mwenye usongo mwekundu akiingia kazini na timu yake kutuliza majini. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Kiluvya -...

 

11 years ago

Mwananchi

Aliyeshika nafasi ya tatu azimia

Mwanafunzi aliyeshika nafasi ya tatu kwa ufaulu kitaifa katika Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne wa 2013, jana alipoteza fahamu kwa muda baada ya kupata matokeo hayo.

 

10 years ago

GPL

WASTARA AZIMIA KISA MAPENZI

Waandishi wetu/Mchanganyiko
DIVA wa filamu nchini, Wastara Juma ambaye kwa sasa anaripotiwa kuwa katika mapenzi na mwigizaji mwenzake, Bond Bin Suleiman anadaiwa kupoteza fahamu mara tu baada ya kupewa taarifa kuwa mpenziwe huyo amepata mtoto wa nne kwa mwanamke mwingine, Risasi Mchanganyiko linakupa stori kamili. DIVA wa filamu nchini, Wastara Juma akiwa hospitali baada ya kuzimia. TUJIUNGE NA CHANZO
Kwa mujibu wa chanzo...

 

10 years ago

Mtanzania

Gwajima azimia akihojiwa polisi

Asifiwe George na Humphrey Shao
ASKOFU wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima jana alizimia na kisha kukimbizwa hospitali wakati akihojiwa Kituo Kikuu cha Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam.
Gwajima ambaye alijisalimisha kituoni hapo saa 8:22 jana mchana akiitikia wito wa polisi uliomtaka kufika kutokana na tuhuma za kutoa lugha chafu dhidi ya Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo.
Waandishi wa Mtanzania Jumamosi waliokuwa...

 

10 years ago

GPL

BWANA HARUSI AZIMIA MARA 3

HAMIDA HASSAN Nivigumu kuamini! Bwana harusi Abasi Khamis Abdallah amejikuta akizimia zaidi ya mara tatu baada ya kubaini kuwa, bi harusi, Fatuma Salum Omar aliyefunga naye ndoa ni mke wa mtu na ana watoto wanne, Amani lina mkasa kamili.
Tukio hilo la kihistoria lilijiri hivi karibuni, Kigamboni, Dar mara tu baada ya ndoa hiyo kufungwa msikitini ambapo wazazi wa bwana harusi ndiyo waliotonywa kuhusu siri hiyo. Bwana harusi...

 

11 years ago

GPL

BOSI AMJERUHI MFANYAKAZI WAKE, AZIMIA

Stori: Makongoro Oging’
Mfanyakazi wa kike Eugenia John, anayefanya kazi katika duka linalouza vifaa vya simu Mtaa wa Aggrey, Kariakoo jijini Dar es Salaam anadaiwa kupigwa na kujeruhiwa hadi kuzimia na bosi wake aliyejulikana kwa jina moja la Chuwa. Chanzo chetu cha habari kinadai kwamba tukio hilo lilitokea hivi karibuni na wakati mfanyakazi huyo anapigwa imedaiwa alikuwa akilia kwa uchungu kitendo kilichowafanya...

 

11 years ago

GPL

DEVOTHA MBAGA AZIMIA MSIBANI, ALAZWA

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
MASKINI! Siku chache baada ya kutoa wosia kuwa akifa asizikwe kwa mbwembwe, mwigizaji Devotha Mbaga amezimia ghafla wakati wa kuaga mwili wa mwongozaji wa filamu na vipindi mbalimbali Bongo, marehemu George Otieno ‘Tyson’. Mwigizaji maarufu wa Bongo Movie Devotha akiwa amelazwa hospitalini baada ya kuzimia ghafla wakati wa kuaga mwili wa mwongozaji wa filamu Bongo, marehemu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani