Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SANGOMA AZIMIA AKITOA MAJINI!

Stori: Denis Mtima
INASHANGAZA sana! Katika hali isiyokuwa ya kawaida mganga wa kienyeji ‘sangoma’ mmoja aliyefahamika kwa jina la Lambalamba amejikuta akiingia kwenye hatua ya nusu kifo kufuatia kupoteza fahamu baada ya kuelemewa na majini aliyokuwa akiyatoa shuleni. Sangoma mwenye usongo mwekundu akiingia kazini na timu yake kutuliza majini. Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni maeneo ya Kiluvya -...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

SANGOMA AAIBIKA!

Na Richard Bukos na Issa Mnally Ama kweli uswazi hakuishi vijimambo! Mganga wa jadi almaarufu sangoma aliyetajwa kwa jina la Wadebi Jinasa amepata aibu ya karne baada ya kunaswa ‘live’ na wake za watu kwenye gesti moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Tandika jijini Dar es Salaam. Mganga wa jadi almaarufu sangoma aliyetajwa kwa jina la Wadebi akijutia baada ya kunaswa live.
Tukio hilo la aina yake lilijiri maeneo...

 

11 years ago

GPL

MARTHA MWAIPAJA AKITOA BURUDANI

Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Martha Mwaipaja akitumbuiza katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.…

 

11 years ago

Mwananchi

Mgonjwa akimbilia kwa ‘Sangoma’

Mgonjwa aliyepooza nusu mwili ambaye alikuwa amelazwa Hospitali ya Rufani Bugando Mwanza, amejikuta katika hali ngumu baada ya kuruhusiwa kurudi nyumbani akiwa na kidonda kikubwa sehemu ya makalio kilichotokana na kulala kwa muda mrefu kitandani bila kugeuzwa.

 

11 years ago

GPL

SANGOMA AINYWESHA FAMILIA DAWA

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro MGANGA mmoja wa jadi, hivi karibuni alikusanya umati mkubwa wa watu baada ya kuinyeshwa dawa familia nzima ya mwanamke aliyemleta kwa lengo la kumfanyia uganga ili kumrejesha mtoto wake aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha mjini hapa. Mwajuma Bakari Tindwa mwenye umri wa miaka 52, mkazi wa Mwembesongo aliyemleta mganga akiandaliwa dawa ili kumrejesha mtoto aliyepotea. Tukio hilo lilitokea...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wachangishana fedha kuita ‘Sangoma’

WANANCHI wa Kijiji cha Ipelo, Rungwe Mkoa wa Mbeya, wamechangishana fedha kwa ajili ya kumuita Mganga wa jadi ‘Sangoma’ kwa madai ya kutokea vifo vya kutatanisha vya wanafunzi. Wakizungumza na...

 

11 years ago

GPL

SANGOMA AMFYEKA MTOTO NYETI

Stori: Haruni Sanchawa
NI jambo lililowaacha midomo wazi madaktari na wauguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), jijini Dar es Salaam ambapo mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi (pichani akiwa na muuguzi) kufikishwa hospitalini hapo akiwa amekatwa nyeti na mtu aliyedaiwa ni mganga wa kienyeji ‘sangoma’ na kuipeleka kusikojulikana. Mtoto Almasi mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi kumi akiwa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mchezo wa Raga majini

Je ushawahi kusikia kuhusu mchezo wa Rugby unaochezewa majini?

 

10 years ago

Habarileo

Ulinzi wa majini kuimarishwa -JK

Rais Jakaya Kikwete akikagua meli vita mbili mara baada ya kutoa kamisheni katika sherehe zilizofanyika makao makuu ya Kamandi ya Navy, Kigamboni Dar es Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi huku Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere akisalimiana na Balozi wa China nchini, Dk Lu Youqing na kulia ni Mkuu wa Kamandi hiyo, Meja Jenerali Rogasian Laswai. (Na Mpigapicha Wetu).RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali kupitia majeshi yake, itazidi kuimarisha ulinzi wa majini , ikiwa ni pamoja na kununua meli vita zitakazosaidia kulinda mipaka ya bahari na rasilimali zilizopo.

 

11 years ago

GPL

WEMA AZIMIA

Stori: waandishi wetu
CHUKI tu! Katika jambo ambalo limeuumiza moyo wa Miss Tanzania 2006/07, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ tangu awe staa, ni ishu iliyotokea wikiendi iliyopita baada ya mtu asiyejulikana kutengeneza picha chafu ya mama mzazi wa mrembo huyo, Mariam Sepetu na kisha kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii kitu ambacho kilimshtusha na kujikuta akipoteza fahamu (kuzimiainatoka uk.1 Diva katika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani