Ulinzi wa majini kuimarishwa -JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali kupitia majeshi yake, itazidi kuimarisha ulinzi wa majini , ikiwa ni pamoja na kununua meli vita zitakazosaidia kulinda mipaka ya bahari na rasilimali zilizopo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Ulinzi kuimarishwa Simba, Yanga
10 years ago
Mtanzania09 May
Ulinzi wazidi kuimarishwa kesi za ugaidi
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
JESHI la Magereza mkoani hapa limezidi kuimarisha ulinzi ndani na nje ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati wa kesi za watuhumiwa 60 wa matukio tofauti ya kigaidi.
Wakati ulinzi ukiimarishwa, mtuhumiwa mpya wa matukio ya kigaidi, Buchumi Hassan, amepandishwa kizimbani kusomewa mashtaka yake na kuunganishwa na watuhumiwa wenzake 60 na kufanya idadi yao kufikia 61.
Kwa wiki kadhaa sasa kulikuwa na ulinzi mkali wa askari magereza eneo hilo wakati wa...
9 years ago
StarTV18 Nov
Ulinzi kuimarishwa maradufu Santiago Bernebeu Jumamosi Â
Kufuatia tukio la kigaidi lililotokea nchini Ufaransa Ijumaa iliyopita ulinzi mkali umeimarishwa mara dufu kuelekea mechi ya kwanza ya El Clasico kati ya Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye uwanja wa Santiago Bernebeu.
Duru za kiusalama zinasema kuwa mkuu wa Manispaa ya mji wa Madrid Concespcion amesema kuwa upekuzi utakuwa mkubwa zaidi nje na ndani ya uwanja huo zikiwemo Cafeteria sambamba na bar ili kuepuka hatari yoyote.
Amebainisha kuwa kila sehemu itakaguliwa...
11 years ago
BBCSwahili13 Feb
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m3kRA-aqkq-6mW0cdwc5u-3eOmx-sFDGZHfAhWlYrMlPpAOAloK8gDFziIYd16ygwBsF0OY*n9PKTXudw5xTwEXr*Ygzm-rX/shafihi.jpg)
SANGOMA AZIMIA AKITOA MAJINI!
10 years ago
Habarileo05 Apr
Wananchi wahadharishwa kuwa majini
JESHI la Polisi nchini, limetoa tahadhari kwa wananchi kuwa makini katika suala zima la ulinzi na usalama wa maisha na mali zao.
10 years ago
BBCSwahili25 Nov
Mzee wa miaka 84 apotea majini Sydney
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Kenya yataka Stars icheze majini
11 years ago
Mwananchi19 Feb
Mabasi ya majini kumaliza msongamano wa magari?