Ulinzi wazidi kuimarishwa kesi za ugaidi
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
JESHI la Magereza mkoani hapa limezidi kuimarisha ulinzi ndani na nje ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati wa kesi za watuhumiwa 60 wa matukio tofauti ya kigaidi.
Wakati ulinzi ukiimarishwa, mtuhumiwa mpya wa matukio ya kigaidi, Buchumi Hassan, amepandishwa kizimbani kusomewa mashtaka yake na kuunganishwa na watuhumiwa wenzake 60 na kufanya idadi yao kufikia 61.
Kwa wiki kadhaa sasa kulikuwa na ulinzi mkali wa askari magereza eneo hilo wakati wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Mar
Vita dhidi ya ugaidi kuimarishwa
LICHA ya jeshi la polisi kuwakamata watuhumiwa 84 wa matukio ya kigaidi nchini na 17 kati yao kufunguliwa mashitaka, Rais Jakaya Kikwete amelitaka jeshi hilo kuendelea kujipanga kukabiliana na aina yoyote ya tishio la kigaidi, huku akisema Serikali itaendelea kuliwezesha katika kukabiliana nao.
10 years ago
Habarileo29 Apr
Ulinzi wa majini kuimarishwa -JK
RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali kupitia majeshi yake, itazidi kuimarisha ulinzi wa majini , ikiwa ni pamoja na kununua meli vita zitakazosaidia kulinda mipaka ya bahari na rasilimali zilizopo.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Ulinzi kuimarishwa Simba, Yanga
9 years ago
StarTV18 Nov
Ulinzi kuimarishwa maradufu Santiago Bernebeu Jumamosi Â
Kufuatia tukio la kigaidi lililotokea nchini Ufaransa Ijumaa iliyopita ulinzi mkali umeimarishwa mara dufu kuelekea mechi ya kwanza ya El Clasico kati ya Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye uwanja wa Santiago Bernebeu.
Duru za kiusalama zinasema kuwa mkuu wa Manispaa ya mji wa Madrid Concespcion amesema kuwa upekuzi utakuwa mkubwa zaidi nje na ndani ya uwanja huo zikiwemo Cafeteria sambamba na bar ili kuepuka hatari yoyote.
Amebainisha kuwa kila sehemu itakaguliwa...
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Kesi za ugaidi balaa
KESI za ugaidi jana zilivifanya viunga vya mahakama za miji ya Arusha na Dar es Salaam kutawaliwa na ulinzi mkali wakati watuhumiwa walipofikishwa mahakamani. Jijini Dar es Salaam, kiongozi wa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jul
Majaji wazidi kujitoa kesi ya Prof. Mwaikusa
MAJAJI wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, wamezidi kujitoa katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam, Kitivo cha Sheria, Prof. Juan...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3xglYvB3JhuOC2B5fVV2Gqe7RSAzOmucYKltrKJ1o6X1HMwY3*E3wbscYpkZZfepnZqM3-RVMyObcjR3YwKkhBK/lwakatare.jpg)
LWAKATARE ASHINDA KESI YA UGAIDI
10 years ago
Habarileo22 Aug
Wahusisha kesi ya ugaidi na Muungano
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shehe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake 19 wanaokabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi, wamedai wamekamatwa na kushitakiwa kwa kuwa wanapinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Upelelezi kesi ya ugaidi bado
UPELELEZI wa kesi ya kuwaagiza watu kufanya makosa mbalimbali ya kigaidi nchini inayowakabili watu 16 iliyopo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, bado haujakamilika. Waendesha mashitaka wa...