Kesi za ugaidi balaa
KESI za ugaidi jana zilivifanya viunga vya mahakama za miji ya Arusha na Dar es Salaam kutawaliwa na ulinzi mkali wakati watuhumiwa walipofikishwa mahakamani. Jijini Dar es Salaam, kiongozi wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OSDnqVdqkHvniJdYBX6PlIhtTWhkh7SFO18w1P4BeLgFUEoqExEobK3rXcPEQhoTjB0QDcZMNo1KQORm66IiCkbsMP8uBwAY/ponda.jpg?width=650)
SIMU YA KICHINA YAZUA BALAA KESI YA SHEHE PONDA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/u-nuBgwJg3xglYvB3JhuOC2B5fVV2Gqe7RSAzOmucYKltrKJ1o6X1HMwY3*E3wbscYpkZZfepnZqM3-RVMyObcjR3YwKkhBK/lwakatare.jpg)
LWAKATARE ASHINDA KESI YA UGAIDI
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Upelelezi kesi ya ugaidi bado
UPELELEZI wa kesi ya kuwaagiza watu kufanya makosa mbalimbali ya kigaidi nchini inayowakabili watu 16 iliyopo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, bado haujakamilika. Waendesha mashitaka wa...
10 years ago
Habarileo22 Aug
Wahusisha kesi ya ugaidi na Muungano
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shehe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake 19 wanaokabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi, wamedai wamekamatwa na kushitakiwa kwa kuwa wanapinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Sep
Mawakili waomba kesi ya ugaidi ifutwe
NA MWANDISHI WETU
MAWAKILI wanaowatetea viongozi wa Jumuia ya Uamsho Zanzibar wameiomba mahakama kuiondoa hati ya mashitaka ya ugaidi dhidi ya wateja wao.
Sheikh FArid Hadi Ahmed na wenzake, wanakabiliwa na mashitaka ya kula njama, kuwaingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi, kukubaliana kuwaingiza Sadick Absaloum na Farah Omary ili washiriki vitendo.
Ombi hilo liliwasilishwa jana, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambako ulinzi uliimarishwa kwa kuwepo askari wengi wakiwemo...
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Kesi ya ugaidi ya Westgate yaanza Kenya
11 years ago
Habarileo07 Aug
Kiongozi wa Uamsho aunganishwa kesi ugaidi
KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shekhe Farid Hadi Ahmed (45) ameunganishwa na washitakiwa 19 wa kesi ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
10 years ago
Mwananchi29 Aug
Kesi ya ugaidi haijavunja Katiba ya Zanzibar
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Kiongozi wa Uamsho kortini kesi ya ugaidi