Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kesi ya ugaidi haijavunja Katiba ya Zanzibar

Mahakama Kuu ya Zanzibar imesema mashtaka ya ugaidi yanaweza kufunguliwa katika mahakama yoyote baina ya pande mbili za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama ilivyotokea kwa Wazanzibari 14 waliokamatwa Zanzibar na kufunguliwa mashtaka yao Tanzania Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Massauni: Zanzibar haijavunja Muungano

Bunge la Katiba limeanza kujadili Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba katika sura ya kwanza na sura ya sita ambayo kwa kiasi kikubwa inahusu Muundo wa Muungano.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kesi za ugaidi balaa

KESI za ugaidi jana zilivifanya viunga vya mahakama za miji ya Arusha na Dar es Salaam kutawaliwa na ulinzi mkali wakati watuhumiwa walipofikishwa mahakamani. Jijini Dar es Salaam, kiongozi wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wahusisha kesi ya ugaidi na Muungano

KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shehe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake 19 wanaokabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi, wamedai wamekamatwa na kushitakiwa kwa kuwa wanapinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Upelelezi kesi ya ugaidi bado

UPELELEZI wa kesi ya kuwaagiza watu kufanya makosa mbalimbali ya kigaidi nchini inayowakabili watu 16 iliyopo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam, bado haujakamilika. Waendesha mashitaka wa...

 

10 years ago

GPL

LWAKATARE ASHINDA KESI YA UGAIDI

MKURUGENZI wa Ulinzi na Usalama wa Chama Cha Maendeleo (Chadema) Taifa, Mhe. Wilfred Lwakatare leo ameshinda kesi ya ugaidi iliyokuwa inamkabili. Kesi hiyo imeendeshwa katika Mahakama ya Rufaa Tanzania.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mawakili waomba kesi ya ugaidi ifutwe


NA MWANDISHI WETU
MAWAKILI wanaowatetea viongozi wa Jumuia ya Uamsho Zanzibar wameiomba mahakama kuiondoa hati ya mashitaka ya ugaidi dhidi  ya wateja wao.
Sheikh FArid Hadi Ahmed na wenzake,  wanakabiliwa na mashitaka ya kula njama, kuwaingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi,  kukubaliana kuwaingiza Sadick Absaloum na Farah Omary ili washiriki vitendo.
Ombi hilo liliwasilishwa jana, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, ambako ulinzi uliimarishwa kwa kuwepo askari wengi wakiwemo...

 

10 years ago

Mtanzania

Ulinzi wazidi kuimarishwa kesi za ugaidi

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
JESHI la Magereza mkoani hapa limezidi kuimarisha ulinzi ndani na nje ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati wa kesi za watuhumiwa 60 wa matukio tofauti ya kigaidi.

Wakati ulinzi ukiimarishwa, mtuhumiwa mpya wa matukio ya kigaidi, Buchumi Hassan, amepandishwa kizimbani kusomewa mashtaka yake na kuunganishwa na watuhumiwa wenzake 60 na kufanya idadi yao kufikia 61.

Kwa wiki kadhaa sasa kulikuwa na ulinzi mkali wa askari magereza eneo hilo wakati wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kiongozi wa Uamsho kortini kesi ya ugaidi

 Kiongozi wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (Jumiki), Sheikh Mselem Ali Mselem na mwenzake Abdallah Said Ali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu likiwamo la kula njama ya kuingiza watu nchini kushiriki vitendo vya ugaidi.

 

11 years ago

Habarileo

‘Upelelezi kesi ya ugaidi Dar haujakamilika’

UPANDE wa mashtaka umeomba kuongezewa muda wa kukamilisha upelelezi katika kesi ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi inayokabili watu 17.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani