Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Massauni: Zanzibar haijavunja Muungano

Bunge la Katiba limeanza kujadili Rasimu ya Mabadiliko ya Katiba katika sura ya kwanza na sura ya sita ambayo kwa kiasi kikubwa inahusu Muundo wa Muungano.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya ugaidi haijavunja Katiba ya Zanzibar

Mahakama Kuu ya Zanzibar imesema mashtaka ya ugaidi yanaweza kufunguliwa katika mahakama yoyote baina ya pande mbili za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kama ilivyotokea kwa Wazanzibari 14 waliokamatwa Zanzibar na kufunguliwa mashtaka yao Tanzania Bara.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanganyika kuwamo ndani ya Katiba ya Muungano bila Zanzibar ni kuua Muungano

Leo nijikite katika kuongeza uelewa juu ya tofauti iliyopo kati ya mambo ya muungano na yasiyo ya muungano. Nchi yetu inatokana na muungano wa zilizokuwa nchi mbili huru kwa maana ya Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo ziliwezesha kuundwa kwa nchi mpya, Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

KUTOKA ZANZIBAR: Yako wapi mapato ya Zanzibar katika Muungano?

>Tumesikia matamshi ya mbunge wa Nkasi Kaskazini kupitia CCM, Ally Mohammed Keissy alipochangia bajeti ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akisema Zanzibar haichangii katika Muungano, hivyo haina haki ya kuhoji mambo ya upande wa pili.

 

5 years ago

Michuzi

RAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AHUDHURIA MAZIKO YA MAREHEMU ALI SALIM HAFIDH NA AZUNGUMZA NA WAZIRI WA NCHI OFISI YA MAKAMU WA RAIS MUUNGANO NA MAZINGIRA IKULU ZANZIBAR.


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiweka mchanga katika kaburi la Marehemu Ali Salim Hafidh, aliyekuwa Msaidi wa Rais Hutuba , maziko hayo yamefanyika katika makaburi ya family Fuoni Mambosasa  Wilaya ya Magharibi “B” Unguja.(Picha na Ikulu)RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein , (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi na (kulia kwa Rais) Rais Mstaaf wa Zanzibar...

 

11 years ago

Habarileo

Mapato ya Muungano Zanzibar hadharani

FEDHA zinazopelekwa Zanzibar kutoka Serikali ya Jamhuri ya Muungano kwa ajili ya kusaidia shughuli mbalimbali za kibajeti, kiuchumi na kijamii, zimewekwa wazi ambapo miongoni mwake zipo zinazotokana na Malipo ya Kodi ya Mishahara (Paye).

 

11 years ago

Habarileo

‘Bendera ya Muungano ni mali ya Zanzibar’

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wameambiwa kwamba bendera ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mali ya sehemu mbili za Muungano, na inapepea Ofisi za Umoja wa Mataifa kwa ridhaa ya Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

Zanzibar ndani ya Tanganyika au muungano?

Nianze kwa kunukuu tangazo nililokuta Bagamoyo, nilipokwenda katika shughuli zangu za kutoa ushauri kuhusu maendelezo bora ya ardhi eneo la makurunge ili kunogesha mjadala katika makala yangu leo ubaoni.

 

9 years ago

Mwananchi

Mgogoro Zanzibar wakwaza muungano

Kuendelea kwa sintofahamu baada ya Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar kufutwa imeelezwa kusababisha mikwamo ya kisiasa, ikiwamo kushindwa kukamilika utimilifu wa Bunge na sura ya baraza la mawaziri.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wasomi Zanzibar waunga Muungano

Wanachuo Zanzibar wapinga hatua yoyote inayoweza kuvunja Muungano wa Tanzania

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani