Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ulinzi kuimarishwa maradufu Santiago Bernebeu Jumamosi  

 

Kufuatia tukio la kigaidi lililotokea  nchini Ufaransa Ijumaa iliyopita ulinzi mkali umeimarishwa mara dufu  kuelekea mechi ya kwanza ya El Clasico kati ya Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye uwanja wa Santiago Bernebeu.

             Duru za kiusalama zinasema kuwa  mkuu wa  Manispaa ya mji wa Madrid  Concespcion amesema kuwa  upekuzi utakuwa mkubwa zaidi nje na ndani ya uwanja  huo zikiwemo Cafeteria sambamba na bar ili kuepuka hatari yoyote.

Amebainisha kuwa kila sehemu itakaguliwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Ulinzi wa majini kuimarishwa -JK

Rais Jakaya Kikwete akikagua meli vita mbili mara baada ya kutoa kamisheni katika sherehe zilizofanyika makao makuu ya Kamandi ya Navy, Kigamboni Dar es Salaam jana. Kulia ni Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Dk Hussein Mwinyi huku Mbunge wa Afrika Mashariki, Makongoro Nyerere akisalimiana na Balozi wa China nchini, Dk Lu Youqing na kulia ni Mkuu wa Kamandi hiyo, Meja Jenerali Rogasian Laswai. (Na Mpigapicha Wetu).RAIS Jakaya Kikwete amesema serikali kupitia majeshi yake, itazidi kuimarisha ulinzi wa majini , ikiwa ni pamoja na kununua meli vita zitakazosaidia kulinda mipaka ya bahari na rasilimali zilizopo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ulinzi kuimarishwa Simba, Yanga

>Wakati homa ya mchezo wa kirafiki wa Nani Mtani Jembe utakao zikutanisha Simba na Yanga, Jumamosi hii ikizidi kupanda, Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa lipo katika maandalizi kabambe kwa ajili ya mechi hiyo  hata hivyo nguvu zaidi limezielekezwa  katika suala la usalama.

 

10 years ago

Mtanzania

Ulinzi wazidi kuimarishwa kesi za ugaidi

NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
JESHI la Magereza mkoani hapa limezidi kuimarisha ulinzi ndani na nje ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati wa kesi za watuhumiwa 60 wa matukio tofauti ya kigaidi.

Wakati ulinzi ukiimarishwa, mtuhumiwa mpya wa matukio ya kigaidi, Buchumi Hassan, amepandishwa kizimbani kusomewa mashtaka yake na kuunganishwa na watuhumiwa wenzake 60 na kufanya idadi yao kufikia 61.

Kwa wiki kadhaa sasa kulikuwa na ulinzi mkali wa askari magereza eneo hilo wakati wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

UNHRC:Idadi ya wahamiaji imeongezeka maradufu

Mashirika mawili yanayosimamia maswala ya wahamiaji yanasema kuwa idadi ya wahamiaji haramu wanaoingia Ulaya imepita laki moja mwaka huu

 

11 years ago

BBCSwahili

Bei ya gesi kupanda maradufu Ukraine

Serikali ya mpwito ya Ukraine inaazimia kupandisha bei ya gesi kwa 50 %

 

5 years ago

BBCSwahili

Netflix yarekodi watumizi maradufu ya ilivyotarajia

Netflix imerekodi ongezeko la watumizi wa mtandao huo mara dufu kwa miezi mitatu iliyopita.

 

11 years ago

Mwananchi

Ada vyuo vya ualimu yapanda maradufu

>Serikali imepandisha maradufu ada kwa wanafunzi wanaosomea ualimu kwenye vyuo vya ualimu nchini kuanzia muhula ujao wa masomo.

 

9 years ago

Michuzi

Motisun yaongeza uimara maradufu mabati ya Kiboko Imara


Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Motisun Group Subhash Patel (wapili kushoto) akiwasha mshumaa pamoja na wawakilishi wa makampuni tanzu za Motisun Group kuashiria uzinduzi wa mabati ya Kiboko Imara. Hafla ya uzinduzi ulifanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar-es-salaam. Balozi wa mabati ya Kiboko Jacob Steven ‘JB’ akicheza ngoma ya asili na kikundi cha KP traditional dance katika uzinduzi wa mabati ya Kiboko Imara yanayotengenezwa na kampuni ya MMI STEEL. Hafla ya uzinduzi ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani