Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bei ya gesi kupanda maradufu Ukraine

Serikali ya mpwito ya Ukraine inaazimia kupandisha bei ya gesi kwa 50 %

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaipandishia Ukraine bei ya Gesi

Kampuni ya Gasi nchini Urusi GAZPROM imeongeza bei ya bidhaa hiyo inayoilipisha Ukrain kuanzia hii leo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchele waanza kupanda bei

SIKU chache baada ya serikali kuruhusu uuzwaji wa mchele nje ya nchi, zao hilo limeanza kupanda gharama katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Mmoja wa wafanyabiashara aliyejitambulisha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara walia nyanya kupanda bei

NYANYA ni tunda au mboga? Mkanganyiko huo umeibuka kwa sababu ya tofauti ya matumizi kati ya wanasayansi na wapishi. Wanasayansi wanasema nyanya ni tunda. Kwa hapa nchini, nyanya hutumika kwenye...

 

11 years ago

Habarileo

Watanzania wasubiri bei kupanda, kushuka

WATANZANIA leo wanaelekeza macho na masikio yao mjini Dodoma, kusikiliza Hotuba ya Bajeti ya Serikali, inayotarajiwa kusomwa saa 10 kamili bungeni na Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum. Tayari Waziri Saada alishaeleza kuwa makadirio ya Bajeti ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa 2014/15, unaoanza Julai mwaka huu, yatakuwa Sh trilioni 19.6 kutoka makadirio ya Sh trilioni 18.2 ya Bajeti inayoisha muda wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hungary yasitisha gesi Ukraine

Kampuni kutoka Hungary inayoshughulikia usambazaji gesi ya FGSZ, imesitisha upelekaji nishati hiyo kwa nchi ya Ukraine .

 

5 years ago

Michuzi

ZUNGU AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA NISHATI YA GESI NA UMEME,ASHIRIKI KUPANDA MITI


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu hii leo ameungana na kikundi cha Pamoja Youth katika zoezi la Upandaji miti katika Shule ya Sekondari Buguruni-Moto. Takriban miti 100 imependwa katika eneo hilo ikiwemo miti ya matunda na miti ya vivuli.Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mussa Azzan Zungu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasitisha huduma ya gesi kwa Ukraine

Kampuni ya Urusi Gazprom imesitisha usambazaji wake wa gesi kwa Ukraine baada ya siku ya mwisho ya Ukraine kulipa deni lake la dola billioni 2 kukamilika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ummy: Nitavalia njuga bei ya gesi

NAIBU Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira), Ummy Mwalimu, ameahidi kulivalia njuga suala la bei za nishati ya gesi kwa lengo la kuhakikisha kila mwanamke wa Kitanzania ananufaika na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani