Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hungary yasitisha gesi Ukraine

Kampuni kutoka Hungary inayoshughulikia usambazaji gesi ya FGSZ, imesitisha upelekaji nishati hiyo kwa nchi ya Ukraine .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasitisha huduma ya gesi kwa Ukraine

Kampuni ya Urusi Gazprom imesitisha usambazaji wake wa gesi kwa Ukraine baada ya siku ya mwisho ya Ukraine kulipa deni lake la dola billioni 2 kukamilika.

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete has sent a congratulatory message to His Excellency János Áder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary

H.E János Áder, President of Hungary H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to His Excellency János Áder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary. The message reads as follows:-
“H.E. János Áder,President of HungaryBudapestHUNGARY
Excellency and Dear Colleague,
On behalf of the people and Government of the United Republic of Tanzania and on my own behalf, I take this opportunity to convey my sincere...

 

11 years ago

BBCSwahili

Bei ya gesi kupanda maradufu Ukraine

Serikali ya mpwito ya Ukraine inaazimia kupandisha bei ya gesi kwa 50 %

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yaipandishia Ukraine bei ya Gesi

Kampuni ya Gasi nchini Urusi GAZPROM imeongeza bei ya bidhaa hiyo inayoilipisha Ukrain kuanzia hii leo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Hungary

Bunge la Hungary limepitisha sheria ambayo itaipa nguvu serikali yake kufunga mipaka yake yote kwa ajili ya wakimbizi wote

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakurupuka Hungary

Wahamiaji wamekurupuka kutoka kwenye kambi za wakambizi zilizoko nchini Hungary wakilalamikia hali duni

 

9 years ago

StarTV

Usafirishaji gesi: Kisima namba 3 cha Gesi Msimbati Mtwara chafunguliwa

Matumaini ya kuanza kuzalishwa umeme unaotokana na gesi siku chache zijazo yameanza kudhihirika baada ya kisima namba 3 cha gesi kilichoko Msimbati wilayani Mtwara kufunguliwa.

Lengo ni kuruhusu gesi kusafiri kwenye bomba hadi Madimba kuwezesha hatua ya uchakataji kuanza.

Mkurugenzi mkuu wa shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania TPDC James Mataragio akifungua rasmi bomba hilo kutoka kisima No MB 3 katika kijiji cha Msimbati na kubainisha kuwa mradi huo umejengwa kwa muda mfupi sana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Marufuku manunuzi Jumapili,Hungary

Bunge nchini Hungary limepiga kura ya kupendekeza kusitisha kufanya manunuzi ya vitu katika maduka.

 

9 years ago

Habarileo

Maganga kuzichapa Hungary kesho

BONDIA Jacob Maganga anatarajiwa kupanda ulingoni kesho dhidi ya bondia wa Hungary, Nobert Nemesapati kuwania mkanda wa dunia katika pambano la Light heavy weight litakalopigwa kwenye mji wa Sportcsamok nchini humo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani