Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maganga kuzichapa Hungary kesho

BONDIA Jacob Maganga anatarajiwa kupanda ulingoni kesho dhidi ya bondia wa Hungary, Nobert Nemesapati kuwania mkanda wa dunia katika pambano la Light heavy weight litakalopigwa kwenye mji wa Sportcsamok nchini humo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Kwa mara ya kwanza tangu atoke jela, Francis Cheka apima uzito kuzichapa na Mthailand kesho!


BONDIA Francis Cheka wa Tanzania na Kiatchai Singwancha kutoka Thailand wamepima uzito leo kwenye ukumbi wa Green Grill uliopo maeneo ya Victoria jijini Dar es Salaam tayari kwa pambano lao linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Masumbwi.Pambano hilo litapigwa kesho usiku kwenye ukumbi wa PTA Manispaa ya Temeke.
Cheka na Singwancha watazichapa kwenye pambano hilo la raundi 10 lisilo na ubingwa wowote, lakini ni mabondia hao wawili wanatafuta kulinda heshima. 
Singwancha alitua Dar jana...

 

10 years ago

Michuzi

President Kikwete has sent a congratulatory message to His Excellency János Áder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary

H.E János Áder, President of Hungary H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to His Excellency János Áder, President of Hungary on the occasion of the National Day of Hungary. The message reads as follows:-
“H.E. János Áder,President of HungaryBudapestHUNGARY
Excellency and Dear Colleague,
On behalf of the people and Government of the United Republic of Tanzania and on my own behalf, I take this opportunity to convey my sincere...

 

10 years ago

Vijimambo

DEADLINE NI KESHO ....MWISHO WA KUNUNUA TICKET ZA DISCOUNT KWA $75 NI KESHO ,BAADA YA KESHO ZITAKUWA $100.

           NUNUA YAKO SASA INGIA..    WWW.DIAMONDUSATOUR.COM AU PIGA 3016616207 NOW.

 

10 years ago

Michuzi

IN MEMORY OF JUDGE RAPHAEL .B. MAGANGA



Dad, it is now 28 years that you departed from us too sudden without bidding farewell to anyone.


Since that fateful and dreadful Saturday 16thof August 1986 when you answered God’s call peacefully, a dark cloud of grief, sorrow and confusion fell upon us, punched a big hole in our life.  It was like a nightmare.  To others you are gone forever but in our hearts you shall be remembered forever.
Your sudden death still hurts us Dad. Oasis of wisdom and intelligence and advisor to many.  Life...

 

9 years ago

Michuzi

In loving memory of Judge Raphael B. Maganga

Dad, it is now 29 yearsthat you departed from us too sudden without bidding farewell to anyone.

  Since that fateful and dreadful Saturday 16thof August 1986 when you answered God’s call peacefully, a dark cloud of grief, sorrow and confusion fell upon us, punched a big hole in our life.  It was like a nightmare.  To others you are gone forever but in our hearts you shall be remembered forever.


Your sudden death still hurts us Dad. Oasis of wisdom and intelligence and advisor to many.  Life...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hungary

Bunge la Hungary limepitisha sheria ambayo itaipa nguvu serikali yake kufunga mipaka yake yote kwa ajili ya wakimbizi wote

 

10 years ago

Dewji Blog

MAKALA kutoka kwa Maganga One: Matatizo ya ndoa na Umri

whatever-works

MWANAUME MKUBWA ANAYEOA MSICHANA MDOGO

Imekuwa ni kawaida katika jamii za kiafrika wanaume wenye umri mkubwa sana kuoa wasichana wenye umri mdogo ambao wanaweza hata kuwazaa.Katika hili imekuwa ni kama fashion kwa wasichana kiasi wamekosa hata zile haya walizokuwa nazo wazazi wetu enzi za zamani.

Wasichana wengi wametokea kujidumbukiza kuolewa na mababa wakubwa sana hari si kuwa wanapenda kuolewa na wazee waliowazidi umri kwa kiasi kikubwa.Wachache kati yao wanapenda kuolewa na watu wazima...

 

10 years ago

Dewji Blog

In Memory of Judge Raphael .B. Maganga Died 16 August 1986

Late Judge Raphael B. Maganga

Dad, it is now 28 years that you departed from us too sudden without bidding farewell to anyone.

Since that fateful and dreadful Saturday 16th of August 1986 when you answered God’s call peacefully, a dark cloud of grief, sorrow and confusion fell upon us, punched a big hole in our life.  It was like a nightmare.  To others you are gone forever but in our hearts you shall be remembered forever.

Your sudden death still hurts us Dad. Oasis of wisdom and intelligence and advisor to many.  Life...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wahamiaji wakurupuka Hungary

Wahamiaji wamekurupuka kutoka kwenye kambi za wakambizi zilizoko nchini Hungary wakilalamikia hali duni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani