Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Motisun yaongeza uimara maradufu mabati ya Kiboko Imara


Mwenyekiti na Mkurugenzi Mtendaji wa Motisun Group Subhash Patel (wapili kushoto) akiwasha mshumaa pamoja na wawakilishi wa makampuni tanzu za Motisun Group kuashiria uzinduzi wa mabati ya Kiboko Imara. Hafla ya uzinduzi ulifanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar-es-salaam. Balozi wa mabati ya Kiboko Jacob Steven ‘JB’ akicheza ngoma ya asili na kikundi cha KP traditional dance katika uzinduzi wa mabati ya Kiboko Imara yanayotengenezwa na kampuni ya MMI STEEL. Hafla ya uzinduzi ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MABATI YA AFRICAN ALLUMIUM (ALAF), IMEZINDUA MABATI AINA YA ROYAL VERSATILE

Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Mabati ya Alluminium Afrika (Alaf), Yahya Ngoza akizungumza na mmoja kati ya wateja waliotembelea banda hilo, wakati wa Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), katika Viwanja vya Mwalimu J.K Nyerere barabara ya Kilwa.  Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Mabati ya Alluminium Afrika (Alaf), Monica Reuben akitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliofika katika banda la kampuni hiyo, wakati wa Maonyesho ya 39 ya Biashara...

 

10 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA MABATI YA ALAF YATOA MSAADA WA MABATI KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA ZA SHULE ZA SEKONDARI WILAYA YA MBEYA

 Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King, akitoa shukrani kwa kampuni ya ALAF  kwa kujitolea mabati kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara kwa shule za sekondari za Wilaya ya Mbeya.
 Meneja wa Kampuni ya ALAF Tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege akitoa taarifa kwa Mkuu wa Wilaya ya Mbeya kabla ya kumkabidhi msaada wa mabati 384 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara.  Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk. Norman Sigallah King na Meneja wa ALAF tawi la Mbeya, Greyson Mwakasege wakikabidhiana...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hoja ya uimara wa CCM kama kura zingepigwa Jumapili Ijayo

NCHI yetu inaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba mwaka huu.

Maggid Mjengwa

 

10 years ago

BBCSwahili

UNHRC:Idadi ya wahamiaji imeongezeka maradufu

Mashirika mawili yanayosimamia maswala ya wahamiaji yanasema kuwa idadi ya wahamiaji haramu wanaoingia Ulaya imepita laki moja mwaka huu

 

5 years ago

BBCSwahili

Netflix yarekodi watumizi maradufu ya ilivyotarajia

Netflix imerekodi ongezeko la watumizi wa mtandao huo mara dufu kwa miezi mitatu iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bei ya gesi kupanda maradufu Ukraine

Serikali ya mpwito ya Ukraine inaazimia kupandisha bei ya gesi kwa 50 %

 

9 years ago

StarTV

Ulinzi kuimarishwa maradufu Santiago Bernebeu Jumamosi  

 

Kufuatia tukio la kigaidi lililotokea  nchini Ufaransa Ijumaa iliyopita ulinzi mkali umeimarishwa mara dufu  kuelekea mechi ya kwanza ya El Clasico kati ya Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye uwanja wa Santiago Bernebeu.

             Duru za kiusalama zinasema kuwa  mkuu wa  Manispaa ya mji wa Madrid  Concespcion amesema kuwa  upekuzi utakuwa mkubwa zaidi nje na ndani ya uwanja  huo zikiwemo Cafeteria sambamba na bar ili kuepuka hatari yoyote.

Amebainisha kuwa kila sehemu itakaguliwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Ada vyuo vya ualimu yapanda maradufu

>Serikali imepandisha maradufu ada kwa wanafunzi wanaosomea ualimu kwenye vyuo vya ualimu nchini kuanzia muhula ujao wa masomo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani