Mao Santiago aibuka na kibao moto cha "Mwandani"
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-oz-WdLTdc8k/VXrY5_-7P_I/AAAAAAAHe7o/p9i28EUW7VI/s72-c/999.jpg)
KIWANJA CHA MPIRA MAO TSE TUNG-ZANZIBAR CHAFANYIWA UTAFITI KWAAJILI YA KUJENGWA
Mhandisi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Ali Mbarouk alieleza hayo wakati akimpatia ufafanuzi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefanya ziara fupi ya kuangalia matayarisho hayo.
Mhandisi Ali Mbaouk alimueleza Balozi Seif kwamba utafiti huo wa udongo...
10 years ago
Vijimambo25 Mar
Moto wa Lowassa sasa watikisa CCM. Nape aibuka, ataka asikaribishe makundi kumshawishi urais.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-25March2015.jpg)
Akizungumza na waandishi wa habari waliopo katika msafara wa Katibu Mkuu wa CCM waliotaka ufafanuzi kuhusu hali hiyo, Katibu wa Halmashauri Kuu (Nec), Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye, alisema matendo yanayoendelea kufanywa na Lowassa, ambaye ni Mbunge wa Monduli ni...
9 years ago
StarTV18 Nov
Ulinzi kuimarishwa maradufu Santiago Bernebeu Jumamosi Â
Kufuatia tukio la kigaidi lililotokea nchini Ufaransa Ijumaa iliyopita ulinzi mkali umeimarishwa mara dufu kuelekea mechi ya kwanza ya El Clasico kati ya Real Madrid dhidi ya FC Barcelona kwenye uwanja wa Santiago Bernebeu.
Duru za kiusalama zinasema kuwa mkuu wa Manispaa ya mji wa Madrid Concespcion amesema kuwa upekuzi utakuwa mkubwa zaidi nje na ndani ya uwanja huo zikiwemo Cafeteria sambamba na bar ili kuepuka hatari yoyote.
Amebainisha kuwa kila sehemu itakaguliwa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
BASATA yafungia kibao cha Snura
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA), limeifungia video ya wimbo ‘Nimevurugwa’ ya mkali wa muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ kwa madai ya kukosa vigezo vya kimaadili kwa jamii. Akizungumza...
10 years ago
Mtanzania11 Jun
Kayala kuibuka na kibao cha Amani Tanzania
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, George Kayala yupo katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo maalumu wa kuombea Amani ya Tanzania katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kayala alisema kwamba, kampuni ya Freshas inayojihusisha na usambazaji wa filamu za Bongo ndiyo inasimamia zoezi zima la kurekodi wimbo huo.
“Ninakamilisha wimbo wangu wa kuombea amani ambao nimeupa jina la ‘Tuilinde Amani Yetu Tanzania,’’ alisema Kayala.
Naye Mkurugenzi wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YhW90c5bRHryzgngB8U-wHGsAHOHkjPhb73Bv2nzfRlwdgNXYgpnSZKFqj793bHiBnqV1TVnsvwVHUY*LnMMGN0/1.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s72-c/MMGM1205.jpg)
NANI KASEMA TANGA HAKUNA KIBAO CHA KWAHERI???
![](http://1.bp.blogspot.com/-yB-ktVZ58sg/VJBql764IGI/AAAAAAAG3r4/5Hpf_537EjY/s1600/MMGM1205.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 May
Nyota wa kibao cha ‘Maumivu’ na harakati za kujitoa kijamii
KILA msanii anapokuwa anaingia katika tasnia ya hiyo, huwa anakuwa na malengo yake, wapo ambao ndoto zao zinatimia na wengine kuyeyuka kutokana na changamoto kadha wa kadha. Pamoja na changamoto...