Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIBAO KATA CHA VANITA MASTAA WAFURIKA

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTITU AVAMIA KIBAO KATA

Stori: Hamida Hassan MUIGIZAJI na Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu amewashangaza watu baada ya kuibuka katika sherehe ya wanawake maarufu kama kibao kata cha Vanita Omary. Muigizaji na Mkurugenzi wa Kampuni ya Five Effect, William Mtitu.
Ishu hiyo ilitokea mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa PG, Kinondoni jijini Dar ambapo mke wa staa huyo alikuwa miongoni mwa waalikwa lakini cha kushangaza Mtitu...

 

11 years ago

GPL

BETHDEI YA DK CHENI YAHUDHURIWA NA MASTAA KIBAO

Keki yenye kuonyesha kazi azifanyazo Dk Cheni. Mwanamuziki Prof. Jay akilishwa keki na Dk Cheni kwa niaba ya wasanii wa Hip Hop. Mdau wa…

 

10 years ago

GPL

10 years ago

GPL

BETHIDEI YA AUNT YAHUDHURIWA NA MASTAA KIBAO

Staa wa Filamu Bongo, Aunt Ezekiel akikata keki  ya bethidei yake ndani ya Ukumbi uliyopo kwenye   Mgahawa wa Rodizio Masaki jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo. Aunt Ezekiel akimlisha keki Wema Sepetu.…

 

11 years ago

GPL

WASANII VANITA, MTENDA WAKIKACHA CHAMA CHA ‘UBACHELA’

Msanii Lulu na Richie wakijimwaga na Maharusi.
Cloud, Batuli, Richie, Mtitu na Steve Nyerere wakipita kuwapa mkono wa pongezi maharusi.
Wasanii wa Bongo Movie wakimtunza bibi harusi.…

 

10 years ago

GPL

MKE AKODI KIBAO KATA KUMKOMESHA MCHEPUKO!

Gladness Mallya na Chande Abdallah
MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikupatikana mara moja, mwishoni mwa wiki iliyopita alijikuta katika wakati mgumu baada ya kundi la wanawake kumvamia kazini kwake na kuanza kumsimanga kwa kitendo chake cha kuchepuka na mume wa mtu huku akipigiwa ngoma maarufu kama kibao kata. Wakimsimanga kwa staili ya kusasambua. Tukio hilo lilitokea Mei 23 mwaka huu maeneo ya Kimara Mwisho, ambapo awali...

 

10 years ago

GPL

MKESHA WA KRISMASI, MKE WA MTITU AFANYA KIBAO KATA!

Mkurugenzi wa Kampuni ya 5Effects, William Mtitu akiwa na mkewe Yovitha Mtitu . Stori: Waandishi wetu Mke wa Mkurugenzi wa Kampuni ya 5Effects, William Mtitu, Yovitha Mtitu, wikiendi iliyopita kwenye Mkesha wa Krismasi alifanya kibao kata nyumbani kwake ambapo alialika kikundi cha ngoma ya Baikoko na kukesha wakikata mauno na mastaa kibao wa Bongo. Sherehe hiyo iliibua minong’ono kwani baadhi ya waalikwa walikuwa wakihoji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mastaa kibao waliohudhuria kwenye pambano la Mayweather dhidi ya Pacquiao

28424DAC00000578-3065819-Power_couple_Beyonc_and_Jay_Z_soaked_up_the_atmosphere_ahead_of_-m-57_1430651184626

Beyoncé and Jay Z, accompanying Floyd Mayweather shortly after.

Las Vegas, USA

Billed as the “Fight of the Century,” the long-awaited bout between Floyd Mayweather and Manny Pacquiao took place at the MGM Grand Arena in Las Vegas, Nevada on Saturday night. The much anticipated event brought out the biggest entertainers, moguls, and athletes from all over the country, to watch one match many have been salivating over for years.

Beyoncé and Jay Z, the newly engaged Nicki Minaj and Meek Mill,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani