KIWANJA CHA MPIRA MAO TSE TUNG-ZANZIBAR CHAFANYIWA UTAFITI KWAAJILI YA KUJENGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-oz-WdLTdc8k/VXrY5_-7P_I/AAAAAAAHe7o/p9i28EUW7VI/s72-c/999.jpg)
Matayarisho ya awali ya maandalizi ya ujenzi wa Kiwanja cha Michezo cha Mao Tse tung kiliopo Mperani Kikwajuni Mjini Zanzibar yameanza rasmi kwa hatua ya utafiti wa uchunguzi wa udongo wa eneo hilo.
Mhandisi wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Ali Mbarouk alieleza hayo wakati akimpatia ufafanuzi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi aliyefanya ziara fupi ya kuangalia matayarisho hayo.
Mhandisi Ali Mbaouk alimueleza Balozi Seif kwamba utafiti huo wa udongo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-qE_R-iFk64I/VXrP6pl7hrI/AAAAAAAA_tc/kJUGwW1AL6o/s72-c/010.jpg)
BALOZI SEIF AKAGUA MAENDELEO YA AWALI YA UJENZI WA UWANJA WA MAO TSE TUNG
![](http://3.bp.blogspot.com/-qE_R-iFk64I/VXrP6pl7hrI/AAAAAAAA_tc/kJUGwW1AL6o/s640/010.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1oyALZ4VnBc/VXrP7JDIH1I/AAAAAAAA_tg/IUImqhn79l4/s640/012.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LPH21Ysg4vQ/VXrP7fwrt-I/AAAAAAAA_to/QX93p4Rcb88/s640/014.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s72-c/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
KATIBU MKUU KADIO AKAGUA KIWANJA CHA JESHI LA ZIMAMOTO NA UOKOAJI DODOMA KINACHOTARAJIWA KUJENGWA MAKAZI YA MAOFISA NA ASKARI WA JESHI HILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-Kp9wvPUyiE8/XuO9SxvjPzI/AAAAAAALtow/5Kp0o_aFrp4fD50yPtEgpEbbvvEs250pACLcBGAsYHQ/s640/ef8e6d59-cdf1-4858-b153-7f2df0ef3b01.jpg)
9 years ago
MichuziMAKAMU WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR MAALIM SEIF ATEMBELEA KIWANJA CHA NDEGE ZANZIBAR
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...
10 years ago
Michuzi27 Aug
Kocha wa Zanzibar Cosmos Seif Mbuzi Aongeza Juhudi ya kunyanyua Kiwango cha Mpira wa Miguu Zenj
![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/10593213_10154497356185247_7754302169297916354_n.jpg?oh=78d7532cb00f18844f0cbf4b0daaa824&oe=546EDF4C)
![](https://scontent-a-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xap1/t1.0-9/10635776_10154497339865247_728635029787414876_n.jpg)
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi02 Jun
KISIWA CHA ZANZIBAR KUTOWEKA DUNIANI KUTOKANA NA ATHARI ZA TABIA NCHI-UTAFITI
![mazingira 3](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/mazingira-3.jpg)
Na Andrew Chale, Nairobi, KenyaWataalamu wa kichunguzi na wanasayansi wa Mazingira, wameelezea kuwa visiwa vilivyopo ndani ya bahari ya Hindi vinatarajiwa kutoweka duniani kutokana na mabadiriko ya tabia nchi inayoikumba dunia kwa sasa ikiwemo upungufu wa kimo cha bahari,...
9 years ago
Michuzi14 Nov
10 years ago
MichuziKiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere (JNIA) chatakiwa kuimarishwa kiushindani
Ujenzi huo unaotarajiwa kuongeza uwezo wa uwanja wa mara tatu zaidi umejikita katika sehemu za maegesho ya magari, sehemu ya abiria kupumzika, sehemu za abiria kupandia na kushuka kwenye ndege, ofisi za uhamiaji na huduma zingine muhimu.
Mkurugenzi mkuu wa Mamlaka hiyo Bw. Suleiman S. Suleiman...
10 years ago
VijimamboTAA yashauriwa kuimarisha kiushindani Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Julius Nyerere JNIA.