Kayala kuibuka na kibao cha Amani Tanzania
NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, George Kayala yupo katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo maalumu wa kuombea Amani ya Tanzania katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kayala alisema kwamba, kampuni ya Freshas inayojihusisha na usambazaji wa filamu za Bongo ndiyo inasimamia zoezi zima la kurekodi wimbo huo.
“Ninakamilisha wimbo wangu wa kuombea amani ambao nimeupa jina la ‘Tuilinde Amani Yetu Tanzania,’’ alisema Kayala.
Naye Mkurugenzi wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima28 Aug
Amani ageuziwa kibao Bukoba
BAADHI ya madiwani na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera, wamelaani kitendo cha aliyekuwa Meya wa manispaa hiyo, Anatory Amani cha kuweka pingamizi mahakamani ili...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qnSVIhct9Dc/VRlv20bKhiI/AAAAAAAC2kI/B6eVo98l5yo/s72-c/TAFA%2B1.jpg)
NANI KUIBUKA KINARA WA TUZO ZA FILAMU TANZANIA!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qnSVIhct9Dc/VRlv20bKhiI/AAAAAAAC2kI/B6eVo98l5yo/s1600/TAFA%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tIkh65Ea6sA/VRlv2_AG6ZI/AAAAAAAC2kM/8dX4s6_uaoc/s1600/TAFA%2B2.jpg)
9 years ago
MichuziWADAU WA AMANI MKOA WA SHINYANGA WAKUTANA KUJADILI JINSI YA KUDUMISHA AMANI KIPINDI CHA UCHAGUZI
Mambo kadha wa kadha yamejadiliwa ikiwemo kuhakikisha ulinzi na usalama wa...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
BASATA yafungia kibao cha Snura
BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA), limeifungia video ya wimbo ‘Nimevurugwa’ ya mkali wa muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ kwa madai ya kukosa vigezo vya kimaadili kwa jamii. Akizungumza...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s72-c/unnamed%2B(65).jpg)
TUTASHIRIKIANA NA WAPENDA AMANI KUISAIDIA DRC KUWA NA AMANI - TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-EwbJBfAoCls/VFNUiF3tWyI/AAAAAAAGuWs/MResu-FXFgQ/s1600/unnamed%2B(65).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Mt8rAKimY7o/VFNUicfeKnI/AAAAAAAGuWo/HCPKHFhAzJg/s1600/unnamed%2B(66).jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Oct
Kampuni ya TRASWORLD yazindua huduma zake katika kiwanja cha ndege cha Kimataifa cha Abeid Amani Karume Zanzibar
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akikata utepe kuzindua huduma za Kampuni ya Trasworld Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, (kulia) Mwenyekiti wa Transworld Abdallah Al Suleimany na (kushoto) Naibu Waziri wa Miundombinu na Mawasiliano Issa Haji Ussi Gavu.
Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi akiteremka kwenye ndege ya mizigo ya Astral baada ya uzinduzi wa Kampuni ya Trasworld.
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Trasworld hapa Zanzibar Hassan...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YhW90c5bRHryzgngB8U-wHGsAHOHkjPhb73Bv2nzfRlwdgNXYgpnSZKFqj793bHiBnqV1TVnsvwVHUY*LnMMGN0/1.jpg?width=650)
9 years ago
Michuzi14 Nov