Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BASATA yafungia kibao cha Snura

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA), limeifungia video ya wimbo ‘Nimevurugwa’ ya mkali wa muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ kwa madai ya kukosa vigezo vya kimaadili kwa jamii. Akizungumza...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

BASATA yafungia mashindano ya Miss Utalii

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA), limefungia Shindano la Miss Utalii Tanzania kwa muda usiojulikana kuanzia Oktoba 10 mwaka huu. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kaimu Katibu Mtendaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

NEMC yafungia kiwanda cha nguo cha 21st Century

Mkurugenzi wa Uzingatiaji na Utekelezaji wa NEMC, Dk Robert Ntakamulenga BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), limekifungia kiwanda cha nguo cha 21st Century kilichopo eneo la Kihonda katika Manispaa ya Morogoro kufanya shughuli zozote za uzalishaji kuanzia jana, kutokana na kutiririsha maji taka na kusababisha uchafuzi wa mazingira.

 

10 years ago

Habarileo

TBS yafungia kiwanda cha juisi

Nembo ya TBS.SHIRIKA la Viwango Tanzania (TBS) imekifungia kiwanda cha Devideic cha mjini Morogoro kwa muda usiojulikana kuendelea na uzalishaji wa juisi aina ya Into.

 

11 years ago

Mwananchi

Ewura yafungia kituo pekee cha mafuta

Kituo cha kuuza mafuta wilayani Misungwi, mkoani Mwanza, kimefungwa na Mamlaka ya Udhibiti Nishati na Maji (Ewura) hadi kitakapokamilisha ujenzi wa paa.

 

5 years ago

Michuzi

ZFDA YAFUNGIA KIWANDA CHA KUZALISHA SANITIZER FEKI KIEMBESAMAKI

Na Kijakazi Abdalla                Wakala wa Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imekifunga kiwanda cha kutengeneza dawa za kukosha mikono (SANITIZER) baada ya kubainika dawa hizo hazina kiwango kinachohitajika pamoja na kutokuwa na usajili rasmi.Hatua ya kukifungia kiwanda hicho kinachojulikana kwa jina la OIL CAM kilichopo Kiembesamaki imekuja baada ya wasamaria wema kutoa taarifa kwa Mamlaka hiyo.Akitoa taarifa kwa waandishi wa habari, Mkuu wa Kitengo cha Vipodozi ZFDA Salim Hamad Kassim...

 

10 years ago

Michuzi

BASATA NA KITUO CHA UTAMADUNI CHA UJERUMAN (GOETH INSTITUT) WAENDESHA MAFUNZO KWA WASANII WA SANAA ZA MIKONO

    Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA Godfrey Mngereza (Kushoto) akisisitiza jambo wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo wasanii wa batiki yaliyoanza mapema wiki hii kwenye Ofisi za Baraza hilo zilizoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ujereum Bi. Eleonore Sylla na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Maendeleo ya Utamaduni  Bi. Leah Ruhimbi      Mkurugenzi wa Kituo cha Utamaduni cha Ujereum Bi. Eleonore Sylla...

 

10 years ago

Mtanzania

Kayala kuibuka na kibao cha Amani Tanzania

GEORGE-KAYALA-2NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, George Kayala yupo katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo maalumu wa kuombea Amani ya Tanzania katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kayala alisema kwamba, kampuni ya Freshas inayojihusisha na usambazaji wa filamu za Bongo ndiyo inasimamia zoezi zima la kurekodi wimbo huo.
“Ninakamilisha wimbo wangu wa kuombea amani ambao nimeupa jina la ‘Tuilinde Amani Yetu Tanzania,’’ alisema Kayala.
Naye Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani