Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyota wa kibao cha ‘Maumivu’ na harakati za kujitoa kijamii

KILA msanii anapokuwa anaingia katika tasnia ya hiyo, huwa anakuwa na malengo yake, wapo ambao ndoto zao zinatimia na wengine kuyeyuka kutokana na changamoto kadha wa kadha. Pamoja na changamoto...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

Waraghbishi wa kijiji cha Nyandekwa na Harakati za Kumkomboa Mwanamke

Baadhi ya waraghabishi wa kijiji cha Nyandekwa Wilayani Kahama wakiongea na waandishi wa habari waliofika kijijini hapo kwa ajili ya kujionea matokeo mbali mbali baada ya waraghabishi kuwasaidia wananchi hao kuchukua hatua katika kila jambo kwa maendeleo ya kijiji chao. Mdau Krantz Mwantepele akihoji maswali kwa Dada Miriam Stefano (Aliyejishika tama ) ambaye amekuwa mchango mkubwa kwa kutoa elimu ya uzazi na mabadilko ya mwili kwa vijana wa kike katika baadhi ya shule za sekondari na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BASATA yafungia kibao cha Snura

BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA), limeifungia video ya wimbo ‘Nimevurugwa’ ya mkali wa muziki wa mduara, Snura Mushi ‘Snura’ kwa madai ya kukosa vigezo vya kimaadili kwa jamii. Akizungumza...

 

11 years ago

GPL

VALENTINE’S DAY ISIWE CHANZO CHA MAUMIVU YA MOYO! -2

MARAFIKI naamini wengi tunafahamu kuwa keshokutwa Ijumaa, ndiyo ile siku yetu muhimu kwenye uwanja wa wapendanao. Ni Sikukuu ya Wapendanao maarufu zaidi kama Valentine’s Day. Tulishaona maana na sababu za kuitwa hivyo. Kama mtakumbuka vizuri, nilisema kuwa, siku hiyo isiwe chanzo cha kutesana kwenye mapenzi bali kudumisha na kuongeza chachu katika uhusiano. Unaweza kufanya chochote lakini ukiandaa hafla ya tofauti inaweza...

 

11 years ago

GPL

VALENTINE’S DAY ISIWE CHANZO CHA MAUMIVU YA MOYO!

BADO siku tisa tu kuifikia Sikukuu ya Wapendanao ambayo hujulikana zaidi kama Valentine’s Day. Kila mwaka huadhimishwa Februari 14, duniani kote. Umejiandaaje kwa ajili ya siku hiyo? Je, kwako  itakuwa siku ya furaha au chanzo cha mateso kwako na kwa mwenzi wako? Unadhani unatakiwa kufanya nini ili kuifanya siku hiyo kuwa nzuri kwako? Yapo mengi ya kufanya, lakini kabla ya kuingia huko tuone kwanza maana yake, japo kwa...

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU WAKATI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NI KIASHIRIA CHA NINI? - 3

KUVIMBA kwa kuta za uke kutokana na kushambuliwa na fangasi (candida Albicans) au bakteria. Kuta hizi huanza kuwa na vijitundu vidogo vidogo na kadiri muda unavyokwenda bila kutibiwa, vitundu hivi huongezeka ukubwa na kuwa kama vidonda na hatimaye kuta za uke kuanza kumomonyoka na hali hii huondoa kabisa hamu ya kushiriki tendo. Matatizo ya shingo ya kizazi (cervical incompetence) kutokana na maambukizi ya fangasi maeneo hayo....

 

11 years ago

GPL

MAUMIVU WAKATI WA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA NI KIASHIRIA CHA NINI?-2

KUVIMBA kwa kuta za uke kutokana na kushambuliwa na fangasi (candida albicans ) au bakteria. Kuta hizi huanza kuwa na vijitundu vidogo vidogo na kadiri muda unavyokwenda bila kutibiwa vitundu hivi huongezeka ukubwa na kuwa kama vidonda na hatimaye kuta za uke kuanza kumomonyoka na hali hii huondoa kabisa hamu ya kushiriki tendo. Matatizo ya shingo ya kizazi (cervical incompetence) kutokana na maambukizi ya fangasi maeneo hayo....

 

10 years ago

Mtanzania

Kayala kuibuka na kibao cha Amani Tanzania

GEORGE-KAYALA-2NA MWANDISHI WETU
MWIMBAJI wa nyimbo za injili, George Kayala yupo katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo maalumu wa kuombea Amani ya Tanzania katika kuelekea Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.
Kayala alisema kwamba, kampuni ya Freshas inayojihusisha na usambazaji wa filamu za Bongo ndiyo inasimamia zoezi zima la kurekodi wimbo huo.
“Ninakamilisha wimbo wangu wa kuombea amani ambao nimeupa jina la ‘Tuilinde Amani Yetu Tanzania,’’ alisema Kayala.
Naye Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani