VALENTINE’S DAY ISIWE CHANZO CHA MAUMIVU YA MOYO! -2
![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0YuA*r3ypaGa3BX*b0S1kgVoTTN0uI9b5j8i3fPGXcF5Izn*hSxdNGvh3opbtXXYw8zMmpEnF*KLpp18wBdXJ7Xk/mahaba.jpg?width=650)
MARAFIKI naamini wengi tunafahamu kuwa keshokutwa Ijumaa, ndiyo ile siku yetu muhimu kwenye uwanja wa wapendanao. Ni Sikukuu ya Wapendanao maarufu zaidi kama Valentine’s Day. Tulishaona maana na sababu za kuitwa hivyo. Kama mtakumbuka vizuri, nilisema kuwa, siku hiyo isiwe chanzo cha kutesana kwenye mapenzi bali kudumisha na kuongeza chachu katika uhusiano. Unaweza kufanya chochote lakini ukiandaa hafla ya tofauti inaweza...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mhrng7eeJg08EeglNq752UkFc8tzJulCRDawizAqtkSnoDcA7C4ClS*wBhZh5yOca4yc5Z0qBokwElu2wFnemFFNMbVw8qlK/mahaba.jpg?width=650)
VALENTINE’S DAY ISIWE CHANZO CHA MAUMIVU YA MOYO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-3i3rVffQH1H4vlKMMOiYltvoj*iUMlPi60luCO2mhxiuYGWMUHJJRWTtKT-OOWiIBLzP4Os2sLhGGdnQvTLvJZObYDglKN4/PresidentJakayaKikwete26.jpg?width=650)
WATAKA KATIBA ISIWE CHANZO CHA MGOGORO
10 years ago
Mtanzania06 Oct
Dk. Shein: Dini isiwe chanzo cha vurugu
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Dr.-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
Na Mwandishi Wetu, Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wananchi wasiwe chanzo cha kuvurugika kwa amani nchini kwa kisingizio cha harakati za kidini na kisiasa.
Hayo aliyasema jana katika hotuba yake kwenye Baraza la Idd el Hajj, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kiislamu Kiuyu, Mkoa wa Kaskazini Pemba na kuhudhuriwa na viongozi ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYroIhRbPRIFCfBywLV7KJ*IsDdG6lZDybr2Z48nYLsnbCleIYgDwFCeTiqMm*XvY9hLG*a-9EVO6sKrrTVYR5uk/MiriamGiovanelli1920x1080001.jpg?width=650)
SHOGA, UPATU ISIWE CHANZO CHA KUNYANYASA WATOTO WAKO
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/JMfl4z29h58/default.jpg)
10 years ago
VijimamboKIFUANGUA KINYWA CHA THE DIVA'S USA VALENTINE'S DAY SHERATON DOWNTOWN SILVER SPRING
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-h6wXoWdJFeY/VNK3kNNARvI/AAAAAAAAAmo/bKmbjKPVTzU/s72-c/IYK_Valentine.png)
Karibuni Semina na Chakula cha Jioni — Valentine Day Februari 14, 2015 Kuanzia saa kumi na mbili jioni 6:00pm EST
![](http://4.bp.blogspot.com/-h6wXoWdJFeY/VNK3kNNARvI/AAAAAAAAAmo/bKmbjKPVTzU/s1600/IYK_Valentine.png)
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Tendo la ndoa; Tiba mbadala ya maradhi ya moyo, ubongo, maumivu ya kichwa?
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s72-c/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kuwahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vya ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar
![](https://1.bp.blogspot.com/-RqVr80qmTLs/XqMHuJHX-ZI/AAAAAAALoHU/MUDGAmh3YlMlJdaJkT411uDn30ViIQfxQCLcBGAsYHQ/s640/a41a9380-d169-44e2-9974-ad4d1c8b91d6.jpg)
(JKCI) Prof. Mohamed Janabi akizungumza jambo wakati alipotembelea kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuona namna ambavyo madaktari bingwa wa magonjwa ya moyo watakavyoweza kutoa huduma kwa wagonjwa hao.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/3c2cd5fd-6b2b-42d2-be30-a77349e8dea5.jpg)
Msimamizi wa kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) Dkt. Stanley Binagi akielezea...