Dk. Shein: Dini isiwe chanzo cha vurugu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
Na Mwandishi Wetu, Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wananchi wasiwe chanzo cha kuvurugika kwa amani nchini kwa kisingizio cha harakati za kidini na kisiasa.
Hayo aliyasema jana katika hotuba yake kwenye Baraza la Idd el Hajj, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kiislamu Kiuyu, Mkoa wa Kaskazini Pemba na kuhudhuriwa na viongozi ...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWATAKA KATIBA ISIWE CHANZO CHA MGOGORO
11 years ago
GPLVALENTINE’S DAY ISIWE CHANZO CHA MAUMIVU YA MOYO! -2
10 years ago
GPLSHOGA, UPATU ISIWE CHANZO CHA KUNYANYASA WATOTO WAKO
11 years ago
GPLVALENTINE’S DAY ISIWE CHANZO CHA MAUMIVU YA MOYO!
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Migogoro, vurugu chanzo cha unyanyasaji wanawake
IMEFIKA wakati Tanzania kupitia Bunge kuridhia Azimio la Umoja wa Mataifa namba 1325 (UN Resolution 1325) ili kukomesha vitendo vya kikatili na unyanyasaji wa kijinsia wanavyotendewa wananchi wasiokuwa na hatia,...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
‘Muundo Bunge la Katiba chanzo cha vurugu’
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Makundi chanzo cha vurugu, mivutano Bunge la Katiba [VIDEO]
10 years ago
Habarileo25 Nov
Polisi wataja chanzo vurugu za Mbagala
POLISI imeeleza undani wa vurugu za juzi na kusababisha vifo vya watu wa eneo la Mbagala Kongowe Mzinga jijini Dar es Salaam na kusema chanzo ni kundi la vijana wahalifu waliojiita ‘Black Americans’.
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Viongozi wa dini wakemea vurugu