Polisi wataja chanzo vurugu za Mbagala
POLISI imeeleza undani wa vurugu za juzi na kusababisha vifo vya watu wa eneo la Mbagala Kongowe Mzinga jijini Dar es Salaam na kusema chanzo ni kundi la vijana wahalifu waliojiita ‘Black Americans’.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi30 Oct
38 kizimbani kwa kufanya vurugu Mbagala wakati wa uchaguzi
10 years ago
Mtanzania06 Oct
Dk. Shein: Dini isiwe chanzo cha vurugu
![Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Dr.-Ali-Mohamed-Shein.jpg)
Rais wa Zanzibar na Mwenyekitki wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein
Na Mwandishi Wetu, Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wananchi wasiwe chanzo cha kuvurugika kwa amani nchini kwa kisingizio cha harakati za kidini na kisiasa.
Hayo aliyasema jana katika hotuba yake kwenye Baraza la Idd el Hajj, lililofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Kiislamu Kiuyu, Mkoa wa Kaskazini Pemba na kuhudhuriwa na viongozi ...
11 years ago
Tanzania Daima15 Feb
Migogoro, vurugu chanzo cha unyanyasaji wanawake
IMEFIKA wakati Tanzania kupitia Bunge kuridhia Azimio la Umoja wa Mataifa namba 1325 (UN Resolution 1325) ili kukomesha vitendo vya kikatili na unyanyasaji wa kijinsia wanavyotendewa wananchi wasiokuwa na hatia,...
11 years ago
Mwananchi11 Mar
‘Muundo Bunge la Katiba chanzo cha vurugu’
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Makundi chanzo cha vurugu, mivutano Bunge la Katiba [VIDEO]
11 years ago
GPLPOLISI FEKI USALAMA BARABARANI AKAMATWA MBAGALA DAR
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Polisi Jamii ni chanzo cha utulivu Mkoa wa Dodoma
10 years ago
Habarileo16 Dec
Polisi yasikitishwa na vurugu Masasi
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Halmashauri ya mji wa Masasi mkoani Mtwara kimeibuka na ushindi kwa kujinyakulia viti 945 sawa na asilimia 88 ya kura zote zilizopigwa katika uchaguzi wa wenyeviti wa serikali za mitaa, vijiji pamoja na vitongoji uliofanyika kote nchini jana.
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Polisi yamsaka Lema kwa vurugu