38 kizimbani kwa kufanya vurugu Mbagala wakati wa uchaguzi
Watu 38 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi K isutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwamo la kutoa vitisho vya shinikizo kwa msimamizi atoe matokeo ya Ubunge ya Mbagala bila ya kufuata utaratibu na kuchoma maboxi 11 ya kupigia kura na karatasi za kupigia kura zenye thamani ya Sh 2.2 milioni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboMGOMBEA UBUNGE AKAMATWA NA SILAHA ZA KIJADI KWA AJILI YA KUFANYIA VURUGU WAKATI WA UCHAGUZI MKOANI SHINYANGA
Kamanda wa jeshi la polisi mkoani Shinyanga kamishina msaidiziJustus Kamugisha akionesha moja ya mapanga yaliyokamatwa na jeshi la polisi yanadaiwa kuwa yaliandaliwa kwa ajili ya kufanya vurugu wakati na baada ya uchaguzi mkuu 2015.Picha na Kadama Malunde-Malunde1 Blog
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RJ0Grr-rL7s/Vmb1OaTl-LI/AAAAAAAILCg/amGtPDEzPwI/s72-c/EU_flag1-436x347.jpg)
Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa EU watoa wito kwa ukamilishwaji haraka wa mchakato wa uchaguzi Zanzibar kulingana na kanuni za chaguzi shirikishi, za uwazi, zinazotekelezwa kwa wakati na za kuaminika
![](http://3.bp.blogspot.com/-RJ0Grr-rL7s/Vmb1OaTl-LI/AAAAAAAILCg/amGtPDEzPwI/s400/EU_flag1-436x347.jpg)
Kufuatia Siku ya Uchaguzi tarehe 25 Oktoba, Ujumbe wa Waangalizi wa Uchaguzi wa Umoja wa Ulaya umebaki nchini kufuatilia chaguzi zilizoahirishwa Tanzania Bara na mchakato uliyositishwa Visiwani Zanzibar, baada ya tamko la Mwenyekiti wa Tume ya...
10 years ago
Habarileo25 Dec
Nyumba 12 zachomwa kwa tuhuma za kufanya vurugu
WAKAZI wa Kijiji cha Mingenyi, Kata ya Gehandu, wilayani Hanang’ mkoani Manyara, wamechoma nyumba 12 zinazoishi kaya 50 wakiwatuhumu kufanya vurugu wakati wa kurudiwa kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa katika eneo hilo.
11 years ago
Mwananchi15 Jul
Kizimbani kwa kutumia kadi 99 za ATM kufanya ujambazi
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s72-c/MALAYA+WA+DAR.jpg)
KIZIMBANI KWA KUPELEKA WANAWAKE KENYA KUFANYA BIASHARA YA NGONO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4AE2pg-iTOs/Uzf3ncSzWWI/AAAAAAAACTk/by-GRdrCoU4/s1600/MALAYA+WA+DAR.jpg)
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
9 years ago
Mtanzania17 Sep
Kizimbani kwa kupeleka wanawake Kenya kufanya biashara ya ngono
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WANAWAKE wawili wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa tuhuma za kusafirisha mabinti kutoka Tanzania kwenda Kenya kwa ajili ya kuwafanyisha ngono.
Washtakiwa hao Jackline Milinga (23) na Mary Amukowa (29) ambaye ni Mkenya walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa mashtaka ya kuwasafirisha mabinti 10.
Wakisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Waliarwande Lema na Wakili wa Serikali, Jackline Nyantori na Selestine Makoba walidaiwa kutenda...
10 years ago
Habarileo25 Nov
Polisi wataja chanzo vurugu za Mbagala
POLISI imeeleza undani wa vurugu za juzi na kusababisha vifo vya watu wa eneo la Mbagala Kongowe Mzinga jijini Dar es Salaam na kusema chanzo ni kundi la vijana wahalifu waliojiita ‘Black Americans’.
10 years ago
Tanzania Daima20 Nov
16 kizimbani vurugu za wafugaji Siha
WAKAZI 16 wa Kijiji cha Miti Mirefu na Sanya Juu wilayani Siha, Kilimanjaro wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Hai wakikabiliwa na makosa ya kuvamia shamba la mwekezaji, kampuni ya...
10 years ago
Mwananchi15 Jan
84 kizimbani vurugu Udom, Serikali yajisafisha