Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


16 kizimbani vurugu za wafugaji Siha

WAKAZI 16 wa Kijiji cha Miti Mirefu na Sanya Juu wilayani Siha, Kilimanjaro wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Hai wakikabiliwa na makosa ya kuvamia shamba la mwekezaji, kampuni ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

84 kizimbani vurugu Udom, Serikali yajisafisha

Wanafunzi 84 wa programu maalum ya stashahada ya ualimu katika Chuo Kikuu cha Dodoma(udom) waliofanya mgomo na kuandamana kushinikiza kulipwa madai yao, juzi wamepandishwa kizimbani kwa kosa la kukusanyika bila kibali maalum.

 

10 years ago

Mwananchi

38 kizimbani kwa kufanya vurugu Mbagala wakati wa uchaguzi

Watu 38 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi  K isutu wakikabiliwa na mashtaka manne likiwamo la kutoa vitisho vya shinikizo kwa msimamizi  atoe matokeo ya Ubunge ya Mbagala bila ya kufuata utaratibu na  kuchoma maboxi 11 ya kupigia kura  na karatasi za kupigia kura zenye thamani ya Sh 2.2 milioni.

 

11 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

11 years ago

Daily News

Siha residents to have water


Siha residents to have water
Daily News
THE Chairman of CCM in Siha District, Mr Oscar Temi, has urged residents in the district to support the party closely as it is the only one with a clear vision for development. He has also assured them that clean tap water will soon be available. Mr Temi said ...

 

10 years ago

Raia Mwema

Mpasuko CCM Siha

MPASUKO mkubwa unakinyemelea Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro k

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kiteto, Siha hakukaliki

WAFUGAJI zaidi ya 800 wa jamii ya kimasai wamevamia eneo la wawekezaji wa kampuni ya utalii ya Tanganyika Film and Safary lililopo kijiji cha miti Mirefu na kuharibu mali mbali...

 

10 years ago

Michuzi

NMB YAWAFIKIA WAKAZI WA SIHA

Benki ya NMB jana ilizindua rasmi tawi Jipya katika wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro. Tawi hili linakadiriwa kuhudumia Zaidi ya wateja Mia moja kwa siku. Tawi jipya la NMB Siha litakuwa linatoa huduma zote za kibenki kunzia kufungua akaunti mbali mbali za akiba, huduma za mikopo yenye masharti nafuu kwa ajili ya mahitaji yote kwenye soko, huduma za fedha za kigeni, kukusanya mapato na kulipa kwa niaba ya serikali na taasisi mbalimbali, kuweka na kutoa fedha. 
 Tawi la NMB Siha...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya Kiteto, Siha yakome

KWA muda mrefu kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu ugomvi kati ya wakulima na wafugaji wanaogombania maeneo hapa nchini Ugomvi wa pande hizo mbili zimekuwa zikisababisha vifo, majeraha,...

 

10 years ago

Daily News

15 Siha girls cheat FGM, marriage


15 Siha girls cheat FGM, marriage
Daily News
FIFTEEN primary school children who had been lined up for Female Genital Mutilation (FGM) and subsequent marriage have been saved from the ordeal as police have been called in to handle the matter. The children, mainly from pastoralt communities here ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani