Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpasuko CCM Siha

MPASUKO mkubwa unakinyemelea Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro k

Paul Sarwatt

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Mpasuko CCM Iringa

JOTO la kuwania ubunge Iringa Mjini, katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani limeanza kuwagawa vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa. Mgawanyiko huo umekua...

 

10 years ago

Mwananchi

CCM Katavi yanyemelewa na mpasuko

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Katavi kinanyemelewa na mpasuko mkubwa baada ya kuwapo madai ya baadhi ya viongozi kujiingiza katika makundi ya watu wenye dhamira ya kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali mkoani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Mpasuko chanzo cha CCM kugaragazwa Arusha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Arusha, Modesti Meikoki amesema kushindwa kwa chama hicho katika chaguzi mbalimbali katika Jiji la Arusha ni kutokana na mpasuko na mgawanyiko uliopo ndani ya chama hicho kikongwe nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbunge Siha atakiwa akapokee kadi za CCM

ZAIDI ya wanachama 100 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kijiji cha Sanya Hoye wilayani Siha, Kilimanjaro, wametangaza kutaka kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku wakimtaka mbunge wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mpasuko Ukawa

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba ambaye pia ni mwanachama wa CHADEMA, Leticia Nyerere (kushoto) akitoka kujaza fomu ya mahudhurio ya vikao vya Bunge hilo huku akisindikizwa na mjumbe mwenzake, Steven Ngonyani, Bungeni mjini Dodoma jana. (Na Mpigapicha Wetu).KUMEKUCHA katika Bunge Maalumu la Katiba, ambapo sasa baadhi ya wajumbe wa Bunge hilo wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamekiuka viapo na vitisho vya viongozi wao, kwa kuamua kutinga bungeni.

 

11 years ago

GPL

MPASUKO FAMILIA YA MANDELA

Stori: Mwandishi Wetu na mitandao HOFU kuu iliyopo sasa nchini Afrika Kusini kufuatia kifo cha aliyekuwa rais wa kwanza mweusi, Nelson Mandela ‘Mzee Madiba’ ni kupasuka kwa familia yake baada ya mazishi yatakayofanyika kesho kijijini Qunu, Eastern Cape Mkoa wa Mthatha. Baadhi ya wananchi nchini humo wameonesha wasiwasi wao kuhusu hatima ya mjane wa marehemu Mandela, Graca Machel kwamba, huenda akatengwa kutokana na...

 

9 years ago

GPL

MPASUKO FAMILIA YA DIAMOND!

Mwandishi wetu Breaking news! Saa chache kabla ya ile sherehe ya kukata na shoka ya 40 ya mtoto wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Latifah Nasibu ‘Princess Tiffah’ inayotarajiwa kufanyika mapema kesho, ndani ya familia hiyo kunadaiwa kuibuka bonge la mpasuko. Mpenzi wa Diamond Platnumz, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ akiwa na mtoto wake. Habari kutoka kwa chanzo makini ndani ya familia hiyo...

 

11 years ago

GPL

MAKUNDI BUNGE LA KATIBA NI MPASUKO

NIMSHUKURU Mungu kwa kuniwezesha kuwa nanyi leo na kuniwezesha kuandika haya nitakayoandika hapa, hakika Mungu ahimidiwe. Hivi sasa kuna mkusanyiko wa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba bungeni Dodoma, awali kukutana kwao kulitia faraja na matumaini na wananchi wakawa na matarajio na matamanio makubwa kuona katiba mpya inakuja baada ya mijadala makini ya wajumbe. Wengi tunatarajia kuona Tanzania ya kesho ikiwa na haki, usawa,...

 

10 years ago

GPL

ESCROW MPASUKO NCHI NZIMA

STORI:  Mwandishi Wetu TUKUBALI tukatae, sakata la fedha kiasi cha Sh. bilioni 306 zilizochotwa kutoka katika Akaunti ya Tegeta Escrow kwenye Benki Kuu ya Tanzania (BoT) limeipasua nchi, Risasi Jumamosi limegundua. Waziri mkuu Mizengo Pinda. Escrow imeipasua nchi kufuatia majadiliano ya waheshimiwa wengi kuanzia juzi, Alhamisi kuonekana kila mmoja ana upande wake huku wapiga kura wao nao wakiwa kinyume na wawakilishi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani