Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM Katavi yanyemelewa na mpasuko

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Katavi kinanyemelewa na mpasuko mkubwa baada ya kuwapo madai ya baadhi ya viongozi kujiingiza katika makundi ya watu wenye dhamira ya kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali mkoani hapa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Mpasuko CCM Siha

MPASUKO mkubwa unakinyemelea Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro k

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mpasuko CCM Iringa

JOTO la kuwania ubunge Iringa Mjini, katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani limeanza kuwagawa vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa. Mgawanyiko huo umekua...

 

11 years ago

Habarileo

Mpasuko chanzo cha CCM kugaragazwa Arusha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Arusha, Modesti Meikoki amesema kushindwa kwa chama hicho katika chaguzi mbalimbali katika Jiji la Arusha ni kutokana na mpasuko na mgawanyiko uliopo ndani ya chama hicho kikongwe nchini.

 

9 years ago

Habarileo

CCM yazoa majimbo manne Katavi

WAKATI matokeo ya Jimbo la Kavuu mkoani Katavi yakisubiriwa kutangazwa leo, tayari CCM imeshinda katika majimbo mengine manne mkoani humo.

 

9 years ago

Vijimambo

DK MAGUFULI AHAMISHIA MAFURIKO YA KAMPENI ZA CCM MKOANI KATAVI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli  akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni  katika Uwanja wa  Azimio mjini mjini Mpanda, mkoani Katavi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimtambulisha Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni  katika Uwanja wa  Azimio mjini mjini Mpanda, mkoani Katavi Wananchi wakishangilia wakati Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, John Magufuli  akihutubia wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja wa  Azimio mjini...

 

11 years ago

GPL

KATIBU MKUU CCM AMALIZA ZIARA YAKE KIGOMA, AHAMIA MKOANI KATAVI

Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Kinana akiwapungia wenyeji wake (hawapo pichani) waliofika kumpokea usiku huu kwa boti akitokea mkoani Kigoma katika bandari ya Karema mkoani Katavi, ambako amemaliza ziara yake ya siku tano na kuhamia mkoani Katavi ambako pia atakuwa na ziara ya siku nne. Kinana pia alipata nafasi ya kupita ufukweni mwa ziwa Tanganyika na kukutana na baadhi ya wavijiji kuwasilikiliza matatizo yao.… ...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AWASILI SALAMA MKOA WA KATAVI USIKU HUU AKITOKEA KIGOMA.

Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia kwa ufupi wakazi wa mji wa Karema mkoani Katavi usiku huu mara baada ya kuwasili akitokea mkoani Kigoma kwa boti na kusafiri nayo ndani ya ziwa Tanganyika takribani kwa masaa kumi na manne.Kutokana na safari hiyo kuwa ndefu ya majini,inaelezwa kuwa kuna baadhi ya Watu wamedai msafara wa Katibu Mkuu huyo,Kinana umepotea ziwa Tanganyika,jambo ambalo si la kweli na la kizushi. Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwapungia wenyeji wake (hawapo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani