Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpasuko CCM Iringa

JOTO la kuwania ubunge Iringa Mjini, katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika mwakani limeanza kuwagawa vigogo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Iringa Tanzania Daima Jumapili, limedokezwa. Mgawanyiko huo umekua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Raia Mwema

Mpasuko CCM Siha

MPASUKO mkubwa unakinyemelea Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro k

Paul Sarwatt

 

10 years ago

Mwananchi

CCM Katavi yanyemelewa na mpasuko

Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Katavi kinanyemelewa na mpasuko mkubwa baada ya kuwapo madai ya baadhi ya viongozi kujiingiza katika makundi ya watu wenye dhamira ya kugombea ubunge katika majimbo mbalimbali mkoani hapa.

 

11 years ago

Habarileo

Mpasuko chanzo cha CCM kugaragazwa Arusha

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mjini Arusha, Modesti Meikoki amesema kushindwa kwa chama hicho katika chaguzi mbalimbali katika Jiji la Arusha ni kutokana na mpasuko na mgawanyiko uliopo ndani ya chama hicho kikongwe nchini.

 

10 years ago

Michuzi

VIJANA WA CCM IRINGA WAMPA NGUVU KATIBU WA MKOA HASSAN MTENGA KUKOMBOA JIMBO, LA IRINGA MJINI

Katibu wa CCM Mkoa wa Iringa, Hassan Mtenga katika kikao na baadhi ya vijana hao











KIU ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Manispaa ya Iringa kukomboa jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu inazidi kuongezeka, baada ya umoja wake wa vijana (UVCCM Manispaa ya Iringa) kuahidi kuongeza nguvu ili kuufanikisha mkakati huo.


CCM ililipoteza jimbo hilo katika Uchaguzi Mkuu wa 2010 kwa Mchungaji Msigwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) anayekaribia kumaliza muda wake.


Katika...

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI DR. MAHIGA DAWA SI KUHAMA CCM ASEMA YEYE NI MKOMBOZI WA CCM IRINGA MJINI.


Balozi Dr Mahiga -Iringa mjini.
Na matukiodaimaBlogALIYEKUWA balozi wa kudumu  wa umoja  wa mataifa (UN) na mgombea urais katika mchakato  wa ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) balozi Dr Augustono Mahiga anayeomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge jimbo la Iringa mjini kupitia CCM amewashangaa makada  maarufu wa chama  hicho  walioshindwa katika mchakato wa ndani ya chama kwa nafasi ya urais kuhama chama hicho kuwa hao hawakuwa na mapenzi ya kuwatumikia  watanzania na kuwa watazunguka kote ila...

 

11 years ago

Habarileo

'CCM Iringa haturudii makosa'

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema sababu za kisiasa zilisababisha wapoteze jimbo la Iringa Mjini katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010 hazitarudiwa tena katika uchaguzi huo utakaofanyika mwakani.

 

9 years ago

Mwananchi

CCM Iringa ‘washikana uchawi’

Baadhi ya wanachama wa CCM katika Jimbo la Iringa Mjini, wanamtuhumu Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoa wa Iringa, Jesca Msambatavangu na viongozi na wanachama wengine kuwa wamekihujumu chama.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani