CCM yazoa majimbo manne Katavi
WAKATI matokeo ya Jimbo la Kavuu mkoani Katavi yakisubiriwa kutangazwa leo, tayari CCM imeshinda katika majimbo mengine manne mkoani humo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo30 Oct
CCM yakomboa majimbo 13, yazoa 188
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeyarejesha mikononi majimbo ya uchaguzi 13 yaliyokuwa kwenye mikono ya vyama vya upinzani, huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikichukua majimbo 16 yaliyokuwa mikononi mwa chama tawala miaka mitano iliyopita.
10 years ago
Mwananchi28 Oct
CCM kupinga matokeo majimbo manne
10 years ago
Habarileo26 Oct
Chadema yatwaa majimbo matatu, CCM manne
Mchuano mkali wa kuwania majimbo 266 ya Tanzania unaonekana ukiwa kati ya chama tawala, CCM na Chadema ambapo hadi mchana huu CCM ilikuwa imejikingia majimbo manne wakati Chadema ikijinyakulia majimbo matatu.
Kwa upande wa CCM, imejipatia majimbo ya Lindi Mjini, Mbinga Mjini, Mbinga Vijijini na Nanyamba wakati Chadema imejihakikishia ushindi katika majimbo ya Tarime Mjini, Tunduma na Buyungu.
Tutaendelea kukujulisha kulingana na matokeo unavyoyapata.
10 years ago
Habarileo29 Oct
CCM kupinga mahakamani matokeo ya majimbo manne
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kutoridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye majimbo ya Kawe, Ndanda, Mikumi na Iringa Mjini na kimesema kitayapinga matokeo hayo mahakamani.
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
CCM walalamikia tume ya uchaguzi NEC, kufuatia kukosa majimbo manne Tanzania Bara
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na...
10 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AFANYA ZIARA YA MAJIMBO MANNE LEO MKOA WA MAGHARIBI.


10 years ago
Mwananchi26 Oct
MATOKEO YA AWALI: Dk Magufuli anaongoza majimbo tisa, Lowassa manne
10 years ago
Vijimambo
MAMA SAMIA AANZA ZIARA YA KAMPENI MKOANI MWANZA, AHUTUBIA MAJIMBO MANNE




10 years ago
Vijimambo
JIJI LA DAR ES SALAAM LAPENDEKEZA MAJIMBO MANNE ZAIDI; VIONGOZI WASEMA WATU NI WENGI MNNO

Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10