CCM walalamikia tume ya uchaguzi NEC, kufuatia kukosa majimbo manne Tanzania Bara
Mjumbe wa Kamati ya Kampeni ya CCM, January Makamba.
CCM inapenda kutoa taarifa ifuatayo kwa wana-CCM na kwa umma:
MALALAMIKO YA CCM KUHUSU MATOKEO KWENYE BAADHI YA MAJIMBO
Chama cha Mapinduzi hakijaridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye baadhi ya majimbo. Katika majimbo manne kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa utaratibu wa uchaguzi, hasa katika kujumlisha matokeo, uliopelekea wabunge wa upinzani kutangazwa washindi. Majimbo hayo ni Iringa Mjini, Mikumi, Ndanda na...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo28 Oct
CCM yazoa majimbo manne Katavi
WAKATI matokeo ya Jimbo la Kavuu mkoani Katavi yakisubiriwa kutangazwa leo, tayari CCM imeshinda katika majimbo mengine manne mkoani humo.
9 years ago
Mwananchi28 Oct
CCM kupinga matokeo majimbo manne
9 years ago
Habarileo26 Oct
Chadema yatwaa majimbo matatu, CCM manne
Mchuano mkali wa kuwania majimbo 266 ya Tanzania unaonekana ukiwa kati ya chama tawala, CCM na Chadema ambapo hadi mchana huu CCM ilikuwa imejikingia majimbo manne wakati Chadema ikijinyakulia majimbo matatu.
Kwa upande wa CCM, imejipatia majimbo ya Lindi Mjini, Mbinga Mjini, Mbinga Vijijini na Nanyamba wakati Chadema imejihakikishia ushindi katika majimbo ya Tarime Mjini, Tunduma na Buyungu.
Tutaendelea kukujulisha kulingana na matokeo unavyoyapata.
9 years ago
Habarileo29 Oct
CCM kupinga mahakamani matokeo ya majimbo manne
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeeleza kutoridhishwa na utaratibu wa kukusanya na kujumlisha matokeo kwenye majimbo ya Kawe, Ndanda, Mikumi na Iringa Mjini na kimesema kitayapinga matokeo hayo mahakamani.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-erAxq6xZSyc/VLvmEZmjhBI/AAAAAAACx5g/xFq_k4-gokg/s72-c/10.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AFANYA ZIARA YA MAJIMBO MANNE LEO MKOA WA MAGHARIBI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-erAxq6xZSyc/VLvmEZmjhBI/AAAAAAACx5g/xFq_k4-gokg/s1600/10.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dzP4TNK0E4s/VLvlnFf4TpI/AAAAAAACx5I/nzSEcsskJHE/s1600/29.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RNHlHMsJ1j4/VlC59msV4WI/AAAAAAAIHsE/Gy-uxMbRzpg/s72-c/unnamed.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s72-c/1.jpg)
TUME YA UCHAGUZI KUONGEZA MAJIMBO
![](http://3.bp.blogspot.com/-2BcXmTtHXUk/VVEfdRslckI/AAAAAAAAbkI/SvYEgp9qGJI/s640/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Nh3HgRWDnwY/VVEfcEsUASI/AAAAAAAAbkA/p8gqrPocSJg/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KWL7AXOUQRs/VVEfdWl72rI/AAAAAAAAbkM/43t62yXCHNs/s640/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-75oRLz9Pogc/VVEfeG7AsjI/AAAAAAAAbkQ/9j14lxWiK00/s640/4.jpg)
10 years ago
MichuziNEC YATANGAZA MAJIMBO MAPYA 26 YA UCHAGUZI
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza majimbo 26 mapya ya uchaguzi ambayo yatakuwa na wagombea katika uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25 mwaka huu.
Akizungumza na waandishi wa habari leo...
10 years ago
Mwananchi13 Jul
NEC yatangaza majimbo mapya uchaguzi
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10