Mbunge Siha atakiwa akapokee kadi za CCM
ZAIDI ya wanachama 100 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kijiji cha Sanya Hoye wilayani Siha, Kilimanjaro, wametangaza kutaka kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku wakimtaka mbunge wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
Mbunge aongeza mauzo kadi za CCM
MAHITAJI ya kadi na bendera za Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani Kilolo mkoani Iringa yametajwa kuongezeka kwa kile kinachodaiwa ni matokeo ya uhamasishaji unaofanywa na Mbunge wa Kilolo, Profesa Peter Msolla.
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/NS5PAKd18Z4/default.jpg)
10 years ago
Raia Mwema15 Jul
Mpasuko CCM Siha
MPASUKO mkubwa unakinyemelea Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro k
Paul Sarwatt
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Madabiba atakiwa kuachia ngazi CCM
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kibonde Bwawe, amemtaka Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida, kujiuzulu wadhifa wake ili kukiepusha chama kupakwa matope kutokana na...
5 years ago
MichuziMBUNGE AZZA HILAL AKABIDHI KADI ZA BIMA YA AFYA ALIZOWAKATIA WAZEE KITUO CHA BUSANDA
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Shinyanga,Mhe. Azza Hilal Hamad (CCM) amekabidhi kadi za Bima ya afya iliyoboreshwa (ICHF) alizowakatia wazee 17 waliopo kituo cha kulelea Wazee cha Busanda kilichopo halmashauri ya wilaya ya Shinyanga ili wapate huduma za afya bila usumbufu.
Mhe. Azza amekabidhi kadi hizo za bima ya afya leo Ijumaa Mei 8,2020 alizoahidi kuwalipia alipofika katika kituo hicho Oktoba 5,2019 akiwa ameambatana Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Mhe. Jasinta Mboneko kusherehekea Siku ya...
9 years ago
Habarileo23 Sep
Watano wa ACT warudisha kadi CCM
MGOMBEA Mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, amevunja ngome ya upinzani mkoani Tanga, baada ya kuzoa wanachama zaidi ya 600 kutoka upinzani wakiwemo wagombea udiwani watano kutoka chama cha ACT - Wazalendo.
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.
Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9c5*5AOU99RsYu5J3RLb2BH5udi5ixnYOxSsGlSZk6sfo-q4w9JJFImMAg*Fwk-T1qf-qsuwaOgqkQIEzYcCvqB/Mwapachu2.jpg?width=650)
BALOZI MWAPACHU ARUDISHA RASMI KADI YA CCM
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Wanachama 150 CCM kupewa kadi Januari 4