Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBUNGE WA SIHA DKT. GODWIN MOLLEL AMWAGA CHECHE BUNGENI

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

NAIBU WAZIRI WA AFYA DKT. GODWIN MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI NAMANGA

  Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa malori yanayokwenda Kenya ili kusikiliza changamoto zinazowakumba.

Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakumba madereva hao, katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya Corona.

Dkt....

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE CHADEMA AMWAGA CHOZI BUNGENI NAKUOMBA HIFDHI CCM

Leo Mei 18 Mbunge wa Kilombelo, Pater Lijualikali amemwaga machozi ndani ya Bunge kutokana na mgogoro unaoendelea ndani na Chama cha CHADEMA ambapo ameomba Chama cha Mapinduzi CCM kama kitaridhia kimpokee 

 

10 years ago

GPL

GODWIN GONDWE AMWAGA MACHOZI!

Godwin Gondwe ‘Double G’ akifuta machozi.
Brighton Masalu
MTANGAZAJI maarufu ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mlimani, Dar  na Mshereheshaji (MC), Godwin Gondwe ‘Double G’ wikiendi iliyopita alimwaga machozi hadharani wakati akitoa ushuhuda wa maisha aliyopitia wakati wa semina ya ujasiriamali inayofanyika kila Jumapili katika Ukumbi wa Kituo cha Mafuta cha Victoria, kilichopo...

 

9 years ago

Habarileo

Mbunge Gama atema cheche

MBUNGE wa Songea Mjini, Leonidas Gama, ametoa wiki mbili kwa Mhandisi wa Maji wa manispaa hiyo, Samwel Sanya, kuhakikisha wakazi wa kata ya Luhuwiko wanapata huduma ya maji safi na salama.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mbunge Siha atakiwa akapokee kadi za CCM

ZAIDI ya wanachama 100 wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kijiji cha Sanya Hoye wilayani Siha, Kilimanjaro, wametangaza kutaka kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), huku wakimtaka mbunge wa...

 

11 years ago

Habarileo

Mjumbe amwaga machozi Bungeni

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.

 

5 years ago

Michuzi

DKT. MOLLEL ATETA NA MADEREVA WA MALORI, NAMANGA

Na WAMJW- Arusha.

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Godwin Mollel amefanya ziara katika mpaka wa Tanzania na Kenya Namanga Jijini Arusha na kuzungumza na madereva wa malori yanayokwenda Kenya ili kusikiliza changamoto zinazowakumba.

Dkt. Mollel amefanya ziara hiyo leo, ikiwa ni sehemu ya kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazowakumba madereva hao, katika kipindi hiki ambacho Dunia imekumbwa na maambukizi ya homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani