DKT.MAGUFULI AFOKA MAJENGO YA WILAYA MOSHI NA SIHA NA UJENZI WA BARABARA
![](http://img.youtube.com/vi/zlmEmDMB5p4/default.jpg)
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
10 years ago
Vijimambo27 Jan
WAZIRI DKT. MAGUFULI AZINDUA UJENZI WA BARABARA ZA PETE JIJINI DAR ES SALAAM.
Waziri wa Ujenzi Mheshimkiwa Dkt.John Pombe Magufuli leo amezindua na kuweka mawe ya msingi katika Ujenzi wa barabara za pete zitakazopunguza msongamano jijini Dar es salaam.
Barabara hizo zilizowekewa mawe ya msingi ni pamoja na ile ya Kinyerezi –Kifuru hadi Mbezi Mwisho yenye urefu wa kilometa 14.0, Kigogo-Tabata Dampo yenye urefu wa kilometa 1.6, na Kimara Baruti-Msewe hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 2.6.
Barabara nyingine ni ile ya External –Kilungure hadi...
Barabara hizo zilizowekewa mawe ya msingi ni pamoja na ile ya Kinyerezi –Kifuru hadi Mbezi Mwisho yenye urefu wa kilometa 14.0, Kigogo-Tabata Dampo yenye urefu wa kilometa 1.6, na Kimara Baruti-Msewe hadi Chuo Kikuu cha Dar es Salaam yenye urefu wa kilometa 2.6.
Barabara nyingine ni ile ya External –Kilungure hadi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8dV-zCFTzWE/VZHde5sNfnI/AAAAAAAHlyQ/kgltInJeoBQ/s72-c/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
Dkt Magufuli akagua ujenzi wa Madaraja katika Barabara ya Bagamoyo-Msata mkoani Pwani
![](http://3.bp.blogspot.com/-8dV-zCFTzWE/VZHde5sNfnI/AAAAAAAHlyQ/kgltInJeoBQ/s640/unnamed%2B%252832%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-qmaSnk4Ts4c/VZHde9gu48I/AAAAAAAHlyU/Gtbpyug64co/s640/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-L0TwC2zf8do/VZHdfpCcq-I/AAAAAAAHlyc/cm_519gZ1Bc/s640/unnamed%2B%252835%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ton72guarVY/VZHdfuB48DI/AAAAAAAHlyo/0ZBMDFxDKxI/s640/unnamed%2B%252836%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-gnyYxmskNlc/VPVIwhGrliI/AAAAAAAHHQQ/0wZ8bHjvt98/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
DKT.MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI UJENZI WA BARABARA YA MWANGA-KIKWENI-VUCHAMA/LOMWE KM 40.6 MKOANI KILIMANJARO
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli ametangaza kutobomolewa nyumba zilizopo kando kando ya barabara ya Mwanga-Kikweni/Vuchama-hadi Lomwe km 40.6 na kusema kuwa barabara hiyo itajengwa kwa kiwango cha lami kwa kutumia upana wake uliopo hivi sasa.Dkt. Magufuli alitoa kauli hiyo ya faraja kwa wakazi wa Kikweni Wilayani Mwanga Mkoani Kilimanjaro kabla ya kuweka jiwe la msingi katika barabara ya Mwanga-Kikweni/Vuchama-Usangi hadi Lomwe(km 40) itakayojengwa kwa kiwango cha lami hivi...
10 years ago
GPLWAZIRI WA UJENZI DKT JOHN MAGUFULI AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA KAMPUNI YA UKANDARASI WA BARABARA YA DOT SERVICES YA NCHINI UGANDA
Waziri wa Ujenzi ,Dkt John Pombe Magufuli akifurahia jambo na mkuu wa wilaya ya Same ,Herman Kapufi wakati akifanya ukaguzi wa barabara kutoka Korogwe/Mkumbara hadi Same yenye urefu wa Kilomita 172, inayojengwa kwa fedha za mkopo kutoka benki ya dunia (WB). Waziri wa Ujenzi Dkt ,John Magufuli akizungumza na wakandarasi kutoka kampuni ya Dot Services ya nchini Uganda… ...
10 years ago
VijimamboWaziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli Azindua barabara ya Igawa-Rujewa KM 9.8 iliyokamilika kujengwa kwa kiwango cha lami.
11 years ago
MichuziDkt. Magufuli asema Wilaya ya Nyasa - Mbinga kuunganishwa kwa kwa Barabara ya Lami
Waziri wa Ujenzi Mhe. Dkt. John P. Magufuli, (Mb) amesema kuwa Serikali itajenga barabara kwa kiwango cha lami kuunganisha Wilaya ya Mbinga hadi Mbamba bay Wilaya mpya ya Nyasa itakayokuwa na urefu wa Kilometa 67.
Dkt. Magufuli aliyasema hayo jana alipokuwa anahutubia mamia ya Wakazi wa Nyasa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa miguu Mbamba bay, mara baada ya Mheshimiwa Rais Jakaya Kiwete kufungua Madaraja pacha ya Ruhekei A, B na C yaliyogharimu kiasi cha Tsh....
Dkt. Magufuli aliyasema hayo jana alipokuwa anahutubia mamia ya Wakazi wa Nyasa kwenye Mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa mpira wa miguu Mbamba bay, mara baada ya Mheshimiwa Rais Jakaya Kiwete kufungua Madaraja pacha ya Ruhekei A, B na C yaliyogharimu kiasi cha Tsh....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CPPTFg0190Q/Xm9DUa7ZR7I/AAAAAAAC8g0/qD2088gCYhw20uVxkxjYtyBMCF-HjqHwgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MSps4ZB6XlM/Xm9DTtifBsI/AAAAAAAC8gs/B8MCzfAO41gxX-Z62qFvSMeSYP4BMU-WwCLcBGAsYHQ/s640/3...jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wEa9UhIk1_c/Xm9DVBx4lfI/AAAAAAAC8g4/hUwjLl8p0pslqFUZMtljMqxYf3paf4pFQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
9 years ago
Mwananchi09 Oct
Dk Magufuli ashusha neema ya barabara Moshi
Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli juzi alitangaza neema ya barabara katika Jimbo la Moshi Mjini baada ya kuombwa kufanya hivyo na mgombea ubunge wa jimbo hilo, Davis Mosha.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania