GODWIN GONDWE AMWAGA MACHOZI!
![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRPr1o-Ur1pb3QNFEshmGvh7FXKtiAzx5tOtbtK2FK36hFTjd5af*6GyaSA-c9t4NRleGT*xDA1P9ghE8MdcoyfS/Image5copy.jpg?width=650)
Godwin Gondwe ‘Double G’ akifuta machozi. Brighton Masalu MTANGAZAJI maarufu ambaye pia ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Mlimani, Dar na Mshereheshaji (MC), Godwin Gondwe ‘Double G’ wikiendi iliyopita alimwaga machozi hadharani wakati akitoa ushuhuda wa maisha aliyopitia wakati wa semina ya ujasiriamali inayofanyika kila Jumapili katika Ukumbi wa Kituo cha Mafuta cha Victoria, kilichopo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-oYvx1cwBu4Y/Va35Nf6wa2I/AAAAAAAHqxw/HYhuxBV2kSk/s72-c/FB_IMG_1437460881306.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/NS5PAKd18Z4/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LzPfBre8N7YHCUMZSAUFMC08ni5sPphno3Ol9WMuwVhPT07Crl-0RhIgCA0EXSMhrwIGchBf50Seb0VJ2789eDkpoxrZ8Qrm/g.jpg)
ZITTO AMWAGA MACHOZI UKUMBINI
11 years ago
Habarileo25 Apr
Mjumbe amwaga machozi Bungeni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba na Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Shehe Hamid Masoud Jongo jana alimwaga machozi bungeni kwa kile alichodai ni masikitiko yake kuona waasisi wa Taifa wanatukanwa na vijana wadogo wajumbe wa Bunge hilo.
10 years ago
Mtanzania05 Mar
Mbasha amwaga machozi mahakamani
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWIMBAJI wa muziki wa injili, Emmanuel Mbasha, anayekabiliwa na kesi ya kumbaka mtoto wa miaka 17, jana alitoka kwenye chumba cha Mahakama ya Wilaya ya Ilala akibubujikwa machozi.
Hali hiyo ilimtokea mara baada ya shahidi wa pili wa kesi hiyo, aliyejulikana kwa jina la Suzan, kutoa ushahidi wake.
Kwa kuwa kesi hiyo inasikilizwa kwenye chemba (chumba maalumu ambacho waandishi na watu wasiohusika hawaruhusiwi kuingia) haikuweza kujulikana mara moja ni kitu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jznEY2dhcR9JqNjmOuEg3Y3dztivbrWY4W0kQTb2rqylyTkN0**Dc9bGCv4t7jN5jT1yYp0O6-Yg1OHrfdTrmGlk/hihgh.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO AMWAGA MACHOZI
11 years ago
Mwananchi27 May
‘Bibi wa unga’ amwaga machozi mahakamani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rhqcRsJl7aRXbx4z4nH0iXT6gtjKm-B7BqMqpNL7MD*ST0jdItoDAJmaC6pEf7QtgWJH3Wkx7T2Bbme0z3*6ljm*g3ggapC1/AUNTY_EZEKIEL661.jpg?width=650)
AUNT AMWAGA MACHOZI KULAANIWA KIFO
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bsmQVYBkFPi8ITDN-D6u3EQcSr5f5jiFIy*omumexKqsmfntV3Chx2ZKrUSdqVTQqI45O08V3mY0zpkFVZHN8gfrPrwL-sEr/tambwe.jpg)
Tambwe amwaga machozi Simba, atimkia kwao